GHARIB MZINGA: "YANGA NDIO KIKOSI BORA ZAIDI KOMBE LA SHIRIKISHO/WAMECHEZA VIZURI/WAMEJIFUNZA"
GHARIB MZINGA: "YANGA NDIO KIKOSI BORA ZAIDI KOMBE LA SHIRIKISHO/WAMECHEZA VIZURI/WAMEJIFUNZA"

USM Alger walishinda kwenye Dimba la Benjamin Mkapa na Yanga wameenda kushinda Kwenye Dimba la July 5, kila mmoja ameshindwa kwenye Ardhi ya Ugenini lakini Kombe limeenda kwa USM Alger. Hii ni tathmini ya Gharib Mzinga 'KILWA FINEST' Kuhusu Mchezo wa Pili wa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Mzinga ameeleza kuhusu mipango ya Timu za Algeria kuhakikisha wanakuza vipaji na kufikia Nchi ya ahadi yenye Mafanikio ya Kisoka. Aidha ameeleza kuwa USM Alger hawajabadilika bali Yanga ndio walibadilika.



USM Alger 0-1 Yanga : 5 Lessons We Learnt as USMA Win the CAF Confederation Cup
USM Alger 0-1 Yanga : 5 Lessons We Learnt as USMA Win the CAF Confederation Cup

USMA are the 2023 CAF Confederation Cup Champions after beating Young Africans from Tanzania on away goals when the ...



FULL MATCH HIGHLIGHTS | USM ALGER 0-1 YANGA SC | CAF CONFEDERATION CUP FINAL MATCH | 2nd LEG TV3
FULL MATCH HIGHLIGHTS | USM ALGER 0-1 YANGA SC | CAF CONFEDERATION CUP FINAL MATCH | 2nd LEG TV3

Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ▻JOIN OUR ...




« Previous Next »


Popular Tags

#David Silva  #Best Football Defending Skills  #Boston Celtics  #Paul Pogba  #Stephen Curry  #Stephen Curry  #Philadelphia 76ers  #New York Knicks  #Football Defensive Skills  #Best Goalkeeper Saves  

Popular Users

#BizNasty2point0  #HEELZiggler  #billbarnwell  #MikePereira  #geniebouchard  #fauxpelini  #Cristiano  #BellaTwins  #DwyaneWade  #imVkohli  #tigerwoods  #ddlovato  #BarackObama  #J_No24