Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Mohammed Dewji ( @moodewji ) alipotembelea mazoezi ya timu hapo jana jioni. #NguvuMoja
MWENYEKITI wa bodi ya wakurugenzi Simba, Mohammed Dewji 'Mo Dewji' kupitia mitandao yake ya kijamii ameweka wazi kuwa kambi ya maandalizi ya msimu ujao ya kikosi hicho yatafanyika Marekani. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24news@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24Tz ⚫️ Facebook: @dar24news ⚫️ Twitter: @Dar24News #modewji #hajimanara #simbasc
TAZAMA C.E.O wa SIMBA Sc BARBARA atoa ahadi NZITO Kwa WACHEZAJI Baada ya Kuichapa 1-0 AL AHLY #CAFCL
Yanga SC leo imepata ushindi wa penati 4-3 katika mchezo wa fainali ya Kombe la Mapinduzi 2021 visiwani Zanzibar dhidi ya wapinzani wao wakuu Simba SC.
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars BAADA ya kuchezeshwa pira gwaride ndani ya dakika 180 kwa msimu wa 2020/21 kwenye Ligi Kuu Bara na kuyeyusha pointi sita ilizokuwa inasaka Klabu ya Simba imeomba msamaha kwa mashabiki wao kutokana na kupitia mapito hayo magumu. Simba ambao ni mabingwa watetezi walianza kupoteza mchezo wa kwanza Oktoba 22 kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons Uwanja wa Nelson Mandela na walipoteza pia mchezo wa pili Oktoba 26 kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting Uwanja wa Uhuru. Nahodha wa Simba, John Bocco amesema kuwa kutokana na matokeo hayo ambayo wameyapata kwenye michezo miwili mfululizo wanahitaji msamaha kwa kuwa waliteleza na kuahidi kurejea kwenye ubora katika mechi zao zijazo. "Kwa niaba ya wachezaji tunaomba mtusamehe kwa matokeo tuliyoyapata ya michezo miwili iliyopita tuliteleza na tumeshateleza hatupaswi kuteleza tena. "Ahadi yetu kwetu kurekebisha makosa yetu na kurudi kwenye sura ya upambanaji mpya kwa michezo tu ijayo," amesema. Simba ipo nafasi ya nne kwenye msimamo ikiwa na pointi 13, imecheza mechi saba na kupoteza jumla ya pointi nane kwa kuwa imelazimisha sare moja na kushinda mechi mbili. Kinara ni Azam FC mwenye pointi 21 baada ya kucheza mechi nane ameshinda saba na kupoteza mechi moja anafuatiwa na Yanga nafasi ya tatu, pointi 19 amecheza mechi saba na ameshinda sita huku akiwa amelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Tanzania Prisons. HABARI MPYA DAILY:https://bit.ly/3c3bEDc HABARI ZA MICHEZO: https://bit.ly/2TAgnWx HABARIZA WASANII: https://bit.ly/2X2f84R HABARI ZA SIASA: https://bit.ly/36r0xCW Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
Rais Magufuli ameahidi kutoa shilingi Milioni 20 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa ofisi ya wajasiriamali wa eneo la Feri katika Wilaya ya Ilala Jijini Dar es Salaam na ameahidi kufanyia kazi changamoto mbalimbali zinazowakabili katika shughuli zao. Ametoa ahadi hiyo leo alipokutana na wajasiriamali hao ambao wanajumuisha wavuvi wadogo na mamalishe wakati akiwa katika mazoezi ya jioni pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli ambaye pia amewachangia wajasiriamali wanawake shilingi Milioni 5. Pamoja na kumshukuru Mhe. Rais Magufuli, wajasiriamali hao wameomba awasaidie wasifukuzwe na Manispaa ya Ilala katika eneo hilo, na badala yake wawekewe utaratibu mzuri wa kufanya biashara zao. Pia wameomba waondolewe ushuru unaotozwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA) kwa mitumbwi ya wavuvi wadogo wa samaki, kama ambavyo Serikali imewaondolea ushuru wakulima wanaopeleka sokoni mazao yasiyozidi tani moja. Aidha, Wajasiriamali hao wamempongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kazi nzuri ya kuiongoza nchi na kushughulikia kero za Watanzania ikiwa ni pamoja na kuwatembelea na kuwasikiliza kwa mara ya pili. Kwa upande wake Mhe. Rais Magufuli ameahidi kufanyia kazi maombi ya Wajasiriamali hao na amewapongeza kwa juhudi zao za kujitafutia kipato.
32. Spieltag (Oberliga Hamburg - 10.05.2015) Altona 93 - Meiendorfer SV Endergebnis: 4:0 (0:0) Tore: 1:0 Marko Sumic 2:0 Sven Körner 3:0 Felix Brügmann 4:0 Sebastian Clausen Aufstellung Altona 93: 30 Gianluca Vladimir Babuschkin, 2 Cody Rockwell Shiedls Rogstad, 3 Sebastian Clausen, 7 Marko Sumic, 9 Jakob Sachs,10 Felix Brügmann,12 Hannes Niemeyer, 4 Sven Körner, 22 Dennis Theißen, 28 Laurel Glen Aug, 32 Goran Domazet Einwechselspieler: 13 Jan Luka Segedi, 5 Benjamin Lipke, 15 Nicholas Anthony Ledesma Trainer: Oliver Dittberner Aufstellung Meiendorfer SV: 1 Tobias Sävke, 3 Milad Ahmad Ahadi, 5 Gabrien Subasic, 6 Hamid Zazai, 7 Bazier Sharifi, 8 Ardian Sejdiu, 9 Robert Subasic, 10 Fabian Facklam,16 Pasquale Dominique Sutt,19 Michael Paul Sara, 20 Christopher Lindenau Einwechselspieler: 23 Marcel Hoffmann, 18 Dennis Facklam, 2 Petros Apostolidis Trainer: Matthias Stuhlmacher Vielen Dank an Thorsten Rathje/www.thorra.de für das Video und die Erlaubnis. Täglich neue Videos zum Hamburger Amateurfußball: ELBKICK.TV - Wo das Leben Fußball spielt. ► Homepage: http://www.elbkick.tv ► Facebook: https://www.facebook.com/ELBKICK.TV ► YouTube: https://www.youtube.com/ELBKICK ► Twitter: https://twitter.com/elbkicktv ► Instagram: http://instagram.com/elbkick.tv/