Accrington Stanley v MK Dons. 📅 - 18.03.2023. ⏰ - 15:00. 🏟 - Wham Stadium. Retweet if you’re going. #ASFC #Plastic



ROBO FAINALI AZAM SPORTS (ASFC) SIMBA, YANGA, AZAM, SINGIDA, MBEYA CITY, IHEFU NA MTIBWA KUFA MTU
ROBO FAINALI AZAM SPORTS (ASFC) SIMBA, YANGA, AZAM, SINGIDA, MBEYA CITY, IHEFU NA MTIBWA KUFA MTU

Baada ya kushuhudia droo ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam iliyofanyika hi leo, ➡ Simba Vs Ihefu ➡ Yanga sc Vs ...



DROO YA ROBO FAINALI ASFC: Wapinzani wa Simba na Yanga walivyopatikana
DROO YA ROBO FAINALI ASFC: Wapinzani wa Simba na Yanga walivyopatikana

Droo ya upangaji ratiba ya robo fainali na nusu fainali Kombe la Shirikisho la Azam Sports, imefanyika leo na matokeo ni: Simba ...



IPSWICH TOWN 3-0 ACCRINGTON | Live Match Reaction | #ITFC #EFL #ASFC
IPSWICH TOWN 3-0 ACCRINGTON | Live Match Reaction | #ITFC #EFL #ASFC

We open up live discussion with all of you straight after Ipswich Town's 3-0 home win over Accrington Stanley! Thanks for ...



Magoli na kadi nyekundu | Yanga 4-1 Tanzania Prisons | Azam Sports Federation Cup 03/03/2023
Magoli na kadi nyekundu | Yanga 4-1 Tanzania Prisons | Azam Sports Federation Cup 03/03/2023

Clement Mzize amehusika kwenye magoli yote manne, Yanga ikiichapa Tanzania Prisons 4-1 katika mchezo wa 16 bora na kutinga robo fainali kwa kishindo. Clement Mzize amefunga magoli magoli dakika ya 70 na 88 huku akisababisha goli la kwanza lililofungwa na Bakari Mwamnyeto dakika ya 52 na penati iliyofungwa na Stephane Aziz Ki dakika ya 69. Katika mchezo huu uliomaliza dakika 45 za kipindi cha kwanza bila goli, Tanzania Prisons walipata pigo kwa beki wake Ibrahim Abraham kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 45 baada ya kupata njano mbili, lakini pia Clement Mzize alikosa penati dakika ya 90. Ni #AzamSportsFederationCup iliyopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.



Goli la Biemes Carno | Singida Big Stars 1-0 JKT Tanzania | #ASFC 03/03/2023
Goli la Biemes Carno | Singida Big Stars 1-0 JKT Tanzania | #ASFC 03/03/2023

Goli la dakika za nyongeza kutoka kwenye kichwa cha beki Mkongomani, Biemes Carno limewapeka Singida Big Stars hatua ya ...



Simba 4-0 African Sports | Highlights | Azam Sports Federation Cup 02/03/2023
Simba 4-0 African Sports | Highlights | Azam Sports Federation Cup 02/03/2023

Ni mechi ya raundi ya nne (16 bora), Simba wakiwatandika 4-0 African Sports kutoka Ligi Daraja la Kwanza (#Championship) , kwenye Dimba la Uhuru, Dar es Salaam. Wafungaji kwenye mchezo huu ni Jean Baleke dakika ya 36, Kennedy Juma dakika ya 47, Mohamed Mussa dakika ya 69 na Jimmyson Mmwanuke dakika ya 90.



Magoli yote | Simba 4-0 African Sports | Azam Sports Federation Cup 02/03/2023
Magoli yote | Simba 4-0 African Sports | Azam Sports Federation Cup 02/03/2023

Ni mechi ya raundi ya nne (16 bora), Simba wakiwatandika 4-0 African Sports kutoka Ligi Daraja la Kwanza (#Championship) , kwenye Dimba la Uhuru, Dar es Salaam. Wafungaji kwenye mchezo huu ni Jean Baleke dakika ya 36, Kennedy Juma dakika ya 47, Mohamed Mussa dakika ya 69 na Jimmyson Mmwanuke dakika ya 90. Haya hapa magoli yote manne.




« Previous Next »


Popular Tags

#Kyrie Irving  #Luis Suarez  #Manuel Neuer  #Thomas Muller  #Goalkeeper Saves  #Best Ball Controls  #Michael Jordan  #Anthony Davis  #Cristiano Ronaldo  #Best Goalkeeper Saves  

Popular Users

#darrenrovell  #DanicaPatrick  #strombone1  #cnnbrk  #BellaTwins  #floydmayweather  #mcuban  #blakegriffin23  #rogerfederer  #b_ryan9  #TheRealJRSmith  #LilTunechi  #Ky1eLong  #THNRyanKennedy  #fauxpelini