Goli la Mayele | Yanga 1-0 Ihefu | NBC Premier League 16/01/2023 by @Azam TV - Post Details

Goli la Mayele | Yanga 1-0 Ihefu | NBC Premier League 16/01/2023

Kosa moja, Goli moja... Ndicho kilichomkuta golikipa wa Ihefu, Fikirini Bakari mbele ya Fiston Mayele aliyeifungia Yanga goli pekee kwenye mchezo huu akitumia makosa ya golikipa huyo.... Ni mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Tazama kilichotokea

Similar Posts!

Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024
Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 17/05/2024

Goli pekee la Freddy Michael Koublan limeipa Simba pointi tatu muhimu, wakiichapa Dodoma Jiji 1-0 kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Hii ni #NBCPremierLeague



Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC  | Highlights | NBC Premier League 13/05/2024
Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 13/05/2024

Yanga SC imeichapa Mtibwa Sugar 3-1 na kutangaza ubingwa wake wa 30 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara ikiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikisha alama 71 ambazo hazifikiwi na timu nyingine. Mtibwa ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 32 kupitia kwa Charles Ilanfya lakini Yanga wakachomoa dakika ya 62 kwa goli la Kennedy Musonda, Nasry Kombo akajifunga dakika ya 66 na Clement Mzize akamaliza kazi dakika ya 81. Tazama highlights...



Magoli | Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC | NBC Premier League 13/05/2024
Magoli | Mtibwa Sugar 1-3 Yanga SC | NBC Premier League 13/05/2024

Yanga SC imeichapa Mtibwa Sugar 3-1 na kutangaza ubingwa wake wa 30 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara ikiwa na mechi tatu mkononi baada ya kufikisha alama 71 ambazo hazifikiwi na timu nyingine. Mtibwa ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 32 kupitia kwa Charles Ilanfya lakini Yanga wakachomoa dakika ya 62 kwa goli la Kennedy Musonda, Nasry Kombo akajifunga dakika ya 66 na Clement Mzize akamaliza kazi dakika ya 81. Haya hapa magoli yote...



Azam FC 0-3 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 09/05/2024
Azam FC 0-3 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 09/05/2024

MZIZIMA DERBY: Simba FC imeshinda 3-0 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam. Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili akianza Sadio Kanoute dakika ya 63, Fabrice Ngoma dakika ya 77 na David Kameta dakika ya 89. Azam FC walipata penati mapema lakini walikosa kupitia kwa Feisal Salum.... lakini pia kuna utata kuhusu tukio la Azam kupata goli iliyoamuliwa kuwa ilikuwa ni off-side.



Azam FC 0-3 Simba SC | Magoli, Penati, Off-side | NBC Premier League 09/05/2024
Azam FC 0-3 Simba SC | Magoli, Penati, Off-side | NBC Premier League 09/05/2024

MZIZIMA DERBY: Simba FC imeshinda 3-0 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam. Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili akianza Sadio Kanoute dakika ya 63, Fabrice Ngoma dakika ya 77 na David Kameta dakika ya 89. Azam FC walipata penati mapema lakini walikosa kupitia kwa Feisal Salum.... lakini pia kuna utata kuhusu tukio la Azam kupata goli iliyoamuliwa kuwa ilikuwa ni off-side.



Simba SC 2-0 Tabora United | Highlights | NBC Premier League 06/05/2024
Simba SC 2-0 Tabora United | Highlights | NBC Premier League 06/05/2024

Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara uliopigwa leo kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Simba yametoka kwa Sadio Kanoute dakika ya 19 na Edwin Balua dakika ya 77.



Mashujaa FC 0 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/05/2024
Mashujaa FC 0 -1 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/05/2024

Goli pekee kutoka kwa Joseph Guede limeipa yanga ushindi wa 1-0 dhidi ya Mashujaa FC ugenini kwenye Dimba la Lake Tanganyika Kigoma, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tazama highlights....



Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024
Yanga SC 3-0 Tabora United | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 01/05/2024

Mabingwa watetezi, Yanga SC wametinga nusu fainali ya #CRDBBankFederationCup kwa kuibutua Tabora United mabao 3-0 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Magoli ya Yanga yametoka kwa Stephane Aziz ki dakika ya 35, Kennedy Musonda dakika ya 66 na Joseph Guede dakika ya 82.