BOIPLUS TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Mara baada ya kuwasili uwanja wa Uhuru tayari kwa pambano lao la Ligi Kuu dhidi ya Lipuli, Kocha wa Simba Mbelgiji Sven Vanderbroeck aliwaacha wachezaji wa kikosi cha kwanza kwenye chumba cha kubadilishia nguo na yeye kupanda jukwaani kwa lengo la kutazama vipaji vya timu ya vijana ya Simba iliyokuwa ikicheza mchezo wa utangulizi
Huu ndio uwanja wa Kasarani ambao utatumia kwa mchezo wa pili wa kuwania tiketi ya fainali za CHAN 2020 kati ya timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' na Tanzania 'Taifa Stars' Jumapili Agosti 4, 2019