kishaitv's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
Mchezaji wa Yanga Allan Okello amepewa zawadi na leo tena ya Pesa na mashabiki zake baada ya kuwafunga bao mbili Coastal Union na kutoa pasi ya usaidizi moja katika mchezo huo.
shabiki wa Simba mandala ataka KAMATI ya ROHO mbaya ifanyiwe mabadiliko