Mchezaji wa Yanga Allan Okello amepewa zawadi na leo tena ya Pesa na mashabiki zake baada ya kuwafunga bao mbili Coastal Union na kutoa pasi ya usaidizi moja katika mchezo huo.
Afisa Habari wa TRA Christina Mwagala akizungumzia maandalizi ya kikosi kuelekea kumalizaka kwa msimu.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally atema Cheche kali kuhusu kuambiwa wnapanga na Timu Pinzani.ili wasichezeshwe Wachezaji muhimu,Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB dhidi ya Coastal Union,kesho Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha.
Moses William Afisa Habari wa Pamba jiji ameweka hadharani kwamba mchezo wake dhidi ya KMC haukuwa mgumu ila ugumu kaleta Ally Kamwe baada ya kuongelea mada za mchezaji wa zamani wa Manchester United Rio Fernand.
shabiki wa Simba mandala ataka KAMATI ya ROHO mbaya ifanyiwe mabadiliko