ALLAN OKELLO AOKOTA TENA KWA WANANCHI. by @kishaitv - Post Details

ALLAN OKELLO AOKOTA TENA KWA WANANCHI.

Mchezaji wa Yanga Allan Okello amepewa zawadi na leo tena ya Pesa na mashabiki zake baada ya kuwafunga bao mbili Coastal Union na kutoa pasi ya usaidizi moja katika mchezo huo.

Similar Posts!

ALLY KAMWE AHARIBU HALI YA HEWA KMC COMPLEX KWA MIJADALA YA RIO FERDINABD
ALLY KAMWE AHARIBU HALI YA HEWA KMC COMPLEX KWA MIJADALA YA RIO FERDINABD

Moses William Afisa Habari wa Pamba jiji ameweka hadharani kwamba mchezo wake dhidi ya KMC haukuwa mgumu ila ugumu kaleta Ally Kamwe baada ya kuongelea mada za mchezaji wa zamani wa Manchester United Rio Fernand.



MANDALA ACHAFUKWA DODOMA BAADA YA KUPATA SARE| AOMBA KAMATI YA ROHO MBAYA IBADILISHWE
MANDALA ACHAFUKWA DODOMA BAADA YA KUPATA SARE| AOMBA KAMATI YA ROHO MBAYA IBADILISHWE

shabiki wa Simba mandala ataka KAMATI ya ROHO mbaya ifanyiwe mabadiliko