Mchezaji wa Yanga Allan Okello amepewa zawadi na leo tena ya Pesa na mashabiki zake baada ya kuwafunga bao mbili Coastal Union na kutoa pasi ya usaidizi moja katika mchezo huo.
Moses William Afisa Habari wa Pamba jiji ameweka hadharani kwamba mchezo wake dhidi ya KMC haukuwa mgumu ila ugumu kaleta Ally Kamwe baada ya kuongelea mada za mchezaji wa zamani wa Manchester United Rio Fernand.
shabiki wa Simba mandala ataka KAMATI ya ROHO mbaya ifanyiwe mabadiliko