Azam TV   

Azam TV's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“The official Azam TV on Twitter | Watch your favorite shows on https://t.co/6bgggrv4QE | 📞 +255784108000”

 Report User

Highlights

#NBCPL Kesho Jumanne zinapigwa mechi zote nane za raundi ya 29 #NBCPremierLeague n azote utazipata mbashara #AzamTV Kwenye Dimba la Azam Complex, Simba watakuwa na kazi dhidi ya Polisi Tanzania ambao wanachungulia kaburi. Kuelekea mchezo huo, Kocha Msaidizi wa Simba, Juma…



"Kwa pamoja tuiombee timu yetu ya Dar es Salaam Young Africans" Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa wito kwa Watanzania kuiombea timu ya Yanga ikafanye vizuri kwenye mchezo wa marudiano fainali ya CAFCC dhidi ya USM Alger siku ya Jumamosi ya Juni 3, 2023. Mechi hii itaruka saa…



#NBCPL: POLISI TANZANIA VS MTIBWA SUGAR Leo kwenye NBC Premier League ni vita ya kujiokoa kushuka daraja, si Polisi Tanzania wala Mtibwa Sugar ambaye yuko kwenye nafasi ya uhakika wa kusalia ligi kuu. Hebu wasikie makocha na manahodha wa timu zote mbili wakizungumzia mchezo huo…



#FKFPL: Tazama Rais wa Kenya William Ruto alivyokwenda kuwasalimia wachezaji wa timu zote mbili kabla ya kushuhudia mtanange wa #MashemejiDerby ndani ya dimba la Nyayo. Gor Mahia 0-0 AFC Leopards Tuko LIVE #AzamSports3HD #LigiKuuKenya #KenyaPremierLeague #FKFPL #AzamTV…



#FKFPL: Tazama timu ya #AzamTV na ‘mzuka’ wa mashabiki wa soka nchini Kenya wakiingia ndani ya dimba la Nyayo. Ni Gor Mahia dhidi ya AFC Leopards Tuko LIVE #AzamSports3HD #LigiKuuKenya #KenyaPremierLeague #KPL #AzamTV #MashemejiDerby #GorMahiaVsAFCLeopards



AZAM FC Vs NAMUNGO: Huu hapa mtazamo wa makocha na manahodha wa Azam FC na Namungo FC kuelekea mechi yao ya leo ya NBC Premier League hapo saa 2:15 usiku. Mechi itakuwa LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #NBCPL #SisiNiSoka #SokaLetuBambam



RATIBA YA YANGA KESHO: “Wachezaji wa Young Africans watakuwa na tukio maalum” maneno ya Ofisa Habari wa Yanga SC, Ally Kamwe akielezea yatakayojiri kesho kwenye mechi yao ya NBC Premier League dhidi ya Dodoma Jiji katika dimba la Azam Complex, Chamazi. Mechi itakuwa LIVE…



RUVU INAITAKA MECHI: “Tuko daraja moja na Simba” sehemu ya maneno ya kocha msaidizi wa Ruvu Shooting, Frank Msese akiwa pamoja na mchezaji wa timu hiyo Salum Kipaga wakizungumza kuelekea mechi yao ya kesho dhidi ya Simba SC. Mechi saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports1HD…




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports