CAFCL: Kikosi cha Simba SC kimeshawasili katika dimba la Mohammed wa Tano (V) tayari kukipiga dhidi ya Raja Casablanca kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) Mechi itapigwa saa 7:00 usiku kwa saa za hapa Tanzania na itakuwa LIVE #ZBC2 kwa nchini pekee. #CAFCL