🛑#LIVE:YANGA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WALIOACHWA MSIMU HUU,YATAJA WACHEZAJI WOTE WAPYA LEO
🛑#LIVE:YANGA YATANGAZA LIST NZIMA YA WACHEZAJI WALIOACHWA MSIMU HUU,YATAJA WACHEZAJI WOTE WAPYA LEO

#Yangasc #Usajilimpya #TetesizausajilimpyaYangasc Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Nyota mpya wa Yanga SC, Albert Kangwanda, amemaliza msimu wa 2025/26 kwa kutwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Zambia (MVP) baada ya kuonyesha kiwango bora katika msimu mzima. Takwimu zake za msimu kwenye michuano yote: Mechi: 32 Magoli: 17 Asisti: 9 Mchezaji Bora wa Ligi (MVP) Timu alizowahi kuchezea: Red Arrows FC Kafue Celtic FC Zanaco FC Kafue Celtic FC HNK Gorica NK Hrvatski Dragovoljac Red Arrows FC Al-Hilal Omdurman Red Arrows FC Spartanii Sportul Red Arrows FC Wananchi, mnaipa alama ngapi usajili wa Albert Kangwanda? Huyu ni Winga fundi sana na anapiga free kick vibaya mno 2. Peter shalulile mshambuliaji wa Namibia na Mamelod Sundown Yanga wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Mamelodi Sundows ,Peter Shalulile (32). Baada ya mazungumzo ya muda mrefu Shalulile amesinya miaka miwili Yanga✅ Yanga wamempa $700,000 (1.8 bilion) kama Sign-on fee. Kipindi ambacho watu wote akili zao zipo kwa Stephane Aziz Ki, viongozi wa Yanga SC wao wakasema hapana-huko tulishapita na mambo yamebadilika! Wakati mnasubiri kuona nani anafuata baada ya Allan Okello (top player kusajiliwa na kuonesha), mabingwa wa nchi wakaona washushe chombo cha viwango vya juu kabisa vya CAF. Hapa hatuongelei mchezaji wa kawaida, naongelea funga kazi Bingwa wa Afrika akiwa na Mamelodi Sundowns, mashine hatari ya kucheka na nyavu, PETER SHALULILE anatua Jangwani🟢🟡 rasmi on a free transfer . Takwimu za Peter Shalulile Mabao ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini (PSL / SAPD): Mabao 112 (mabao 44 akiwa na Highlands Park na mabao 68 akiwa na Mamelodi Sundowns). Mabao ya CAF Champions League: Mabao 15 (yote akiwa na Mamelodi Sundowns, ambapo pia alikuwa mfungaji bora wa mashindano hayo mwaka 2023). Mabao kwenye Mashindano Yote (Klabu): Mabao 153 katika michezo 353 (mabao 49 Highlands Park na mabao 104 Mamelodi Sundowns). 3. Housseine Zakouani Winga kutoka Ufaransa lkn anawakilisha timu ya Taifa ya Comoro ni Winga fundi haswaaa 4. Cheikh Ibrahima Touré ni mshambuliaji mwenye asili ya Senegal na Ufaransa, anayejulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kufunga mabao na kuongoza safu ya ushambuliaji. Kabla ya kujiunga na Yanga SC, Touré alikuwa akicheza nchini Saudi Arabia, ambako alikuwa na msimu bora uliomfanya kuwa miongoni mwa washambuliaji waliofanya vizuri. Takwimu zake msimu uliopita: Mechi: 34 Mabao: 20 Asisti: 5 Touré anajiunga na Yanga akiwa na rekodi nzuri na matarajio makubwa ya kuongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji ya mabingwa hao wa Tanzania. 5. Eric Mwijage Winga kutoka KMC amewahi kupita pia Kagera Sugar amesaini mkataba wa Miaka 2 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate 8. Hussein Juma Mihambo straika kutoka Mashujaa amewahi kupita jomo 9.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi Winga kutoka Mashujaa 10. Fred ngoma kiungo kutoka Olympic de Club safi Morocco 11. Marco maarufu kama mpemba D Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7.Farid Mussa free agent amejiunga na Coastal Union ya Tanga 8. Celestine Ecua 9. Israel Mwenda amerejea Singida BS 10.Lassine kouma 11. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda TRA United 12. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Walioongezewa mkataba mpya 1. Yao kouassi 2. Kibwana shomari 3.Salum Abubakari Sure boy 4. Bakari Mwamnyeto 5. Shadrack Boka 6. Denis Nkane Hii ndiyo orodha ya wachezaji 12 wa kigeni wa Yanga SC kuelekea msimu wa 2026/27, huku klabu hiyo ikiendelea kusuka kikosi cha kupambana kwenye mashindano mbalimbali. 🇨🇮 1. Diarra Djigui 🇨🇮 2. Kouassi Yao 🇨🇮 3. Boka Shadrack 🇨🇲 4. Max Nzengeli 🇰🇪 5. Duke Abuya 🇺🇬 6. Allan Okello 🇳🇦 7. Peter Shalulile 🇫🇷 8. Ibrahima Touré 🇿🇲 9. Albert Kangwanda 🇨🇬 10. Fred Ngoma 🇰🇲 11. Housseine Zakouani 🇦🇴 12. Laurindo Depu 13. Pacome Zouzoua Pacome Zouzoua naye yupo nje kutokana na majeraha na taarifa zinaeleza kuwa hatakuwa sehemu ya msimu ujao



🚨💣 REAL VS BARÇA?! RODRI, FERRAN PLANS, MASTANTUONO DEAL CLOSE! CHELSEA: TWO OUT! GODTS IS COMING…
🚨💣 REAL VS BARÇA?! RODRI, FERRAN PLANS, MASTANTUONO DEAL CLOSE! CHELSEA: TWO OUT! GODTS IS COMING…

👋🏼 Hello guys, this is Fabrizio Romano, and welcome to a new YouTube video. 📰 Find full details in this video! Don't forget to subscribe and like this video, also leave your comment below. HERE WE GO! __ 📱 https://twitter.com/FabrizioRomano 📱 https://www.instagram.com/fabriziorom 📱 https://discord.gg/mPtA495zHW __ TIMESTAMPS



🚨 Abhishek Sharma 233 Off 91 Balls! 🔥 Massive Double Century | Good News For Team India
🚨 Abhishek Sharma 233 Off 91 Balls! 🔥 Massive Double Century | Good News For Team India

🚨 Abhishek Sharma 233 Off 91 Balls! 🔥 Massive Double Century | Good News For India #AbhishekSharma #DoubleCentury #AsianGames #TeamIndia #CricketNewsTelugu #FilmyPoster జింబాబ్వే టూర్‌లో విఫలమై విమర్శలపాలైన అభిషేక్ శర్మ విశ్వరూపం! 🔥 పంజాబ్ ఇంటర్-డిస్ట్రిక్ట్ వన్డే టోర్నీలో 91 బంతుల్లోనే 233 పరుగులు (25 సిక్సర్లు, 15 ఫోర్లు) బాది విమర్శకుల నోళ్లు మూయించాడు! 😱 Complete highlights of Abhishek Sharma's monster double century (233 off 91 balls) in the Punjab State Inter-District ODI tournament for Amritsar. Smashing a record-breaking 25 sixes and 15 fours with a massive 256 strike rate, Abhishek silenced his critics after a poor Zimbabwe tour. Watch how this incredible all-round performance (233 Runs & 2 Wickets) boosts Team India ahead of the Asian Games in Japan! Key Topics Covered: The 25-Six Carnage: How Abhishek Sharma scored 210 runs just in boundaries, completely destroying the opponent bowlers. Amritsar's Massive 533: Abhishek and Abhay Chaudhary (93) putting up a 305-run opening stand, taking the team total to 533/8. Asian Games Boost: Why Abhishek returning to his explosive form is the biggest positive for Team India heading into the upcoming Asian Games in Japan. ------------------------------------------------ లేటెస్ట్ స్పోర్ట్స్ న్యూస్ కోసం మా వెబ్ సైట్ ను సందర్శించండి. https://www.filmyposter.in ------------------------------------------------- Follow us on Social Media: --------------------- ❖Website: https://www.filmyposter.in ❖Facebook: https://www.Facebook.com/filmyposter ❖Twitter: https://www.twitter.com/filmyposter ❖Youtube: https://www.youtube.com/filmyposter ❖Instagram: https://www.instagram.com/filmyposter ------------------------------------------------- Music Credits: https://www.youtube.com/audiolibrary/music



Liverpool v Leeds | Pre-Season Friendlies | Match Highlights
Liverpool v Leeds | Pre-Season Friendlies | Match Highlights

Liverpool v Leeds | Pre-Season Friendlies | Match Highlights 📱 Watch the FA Cup and EFL, plus the very best of European football: LaLiga, Serie A & Bundesliga LIVE on beIN SPORTS CONNECT: https://tinyurl.com/3vkrtzv2 🏃‍♂️ Follow us ▶️ Facebook: https://facebook.com/beINSPORTSNZ ▶️ Twitter: https://twitter.com/beINSPORTS_NZ ▶️ Instagram: https://www.instagram.com/beinsports_NZ ⚽️ beIN SPORTS. The biggest names in the game. LIVE every week




Next »


Popular Tags

#Paul George  #Kyrie Irving  #Lionel Messi  #Paul Pogba  #Allen Iverson  #Mesut Ozil  #Los Angeles Lakers  #Tristan Thompson  #Best Goalkeeper Saves  #Best Ball Controls  

Popular Users

#espn  #jadande  #KylieJenner  #BarackObama  #katyperry  #BaileyLAKings  #GNev2  #JLo  #rioferdy5  #LilTunechi  #TheRealJRSmith  #Buster_ESPN  #JJWatt  #mcuban  #JohnCena