🔴#Live: PAREDI LA YANGA LAFIKA JANGWANI KWENYE UWANJA MPYA - INJINIA HERSI ANAUNGURUMA...
🔴#Live: PAREDI LA YANGA LAFIKA JANGWANI KWENYE UWANJA MPYA - INJINIA HERSI ANAUNGURUMA...

🔴#Live: PAREDI LA YANGA LAFIKA JANGWANI KWENYE UWANJA MPYA - INJINIA HERSI ANAUNGURUMA... ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 453136) ⚫️ Email: globaltvonline.newsdesk@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx



YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI MPYA NI BALAA AZIZI KI,GUILLERMO MZUNGU NDANI,YAACHANA NA WACHEZAJI HAWA
YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI MPYA NI BALAA AZIZI KI,GUILLERMO MZUNGU NDANI,YAACHANA NA WACHEZAJI HAWA

#Yangasc #Tetesizausajilimpya #WachezajiwapyaYangasc #alikamwe #hansrafael #Uchambuziwamichezo #mchomemapovu #Enghersisaidi Fagio la CHUMA limepita Bila huruma jangwani Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy 8. Farid Mussa 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma Wachezaji wanaosajiliwa Yanga 1. Yves Koutiama mshambuliaji wa Burkina Faso Na police Kenya magoli 11 mechi 17 ameingia dirisha Dogo 2. Azizi Ki 3. Nasri Kombo beki kutoka TRA United. 4.Samba Kone mrithi wa Shadrack Boka LB & CB assist 6 Miaka 23 ivory Coast Yanga wanamtaka mlinzi wa kushoto wa Mouna FC raia wa Ivory Coast 🇨🇮,Samba Koné (23) ✅Yanga wanamuona Kone kama mbadala sahihi wa Boka. ❌Kone anamaliza mkataba wake na Mouna FC,june 30 mwaka huu. Mchezaji huyo amewahi kupita Paradou FC ya Algeria 🇩🇿. Msimu huu Kone katoa assist (4) huku akitajwa kama beki bora wa kushoto kwenye ligi ya Ivory Coast. 5. 🚨Taarifa za usajili zinaeleza kuwa klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa nyota wa klabu ya Anzoategui FC (Academia Anzoategui) inayoshiriki Ligi daraja la pili nchini Venezuela (FUTVE 2) Guillermo Leon Marin Pino maarufu kwa jina la Memo mwenye umri wa miaka (24). Pino anaweza kucheza nafasi mbalimbali kama vile Winga wa kulia (RW), Winga wa kushoto (LW) na kiungo Mshambuliaji. Kabla ya kujiunga na Anzoategui mnamo mwaka 2023 alikuwa anaitumikia klabu ya Deportivo La Guaira. Akiwa na Anzoategui msimu huu Pino amefanikiwa kuhusika kwenye mabao (5) baada ya kufunga mabao (3) na kutoa assisti (2) akicheza dakika (876) kwenye michezo (13). 6. Mosi Nduwumwe huyu ndiye top score ligi kuu Mechi 15 magoli 17 na ndiye mrithi wa Prince Dube,ni raia WA Burundi Miaka 25 Kocha wanaotajwa Kwa sasa Chavalier wa aasec mimosas ya ivory Coast na fadlu davids wa Raja



🔴#Live: YANGA WAFUNGUKA MAZITO - HALI ya PACOME - PAREDI ya UBINGWA - ALI KAMWE AUNGURUMA...
🔴#Live: YANGA WAFUNGUKA MAZITO - HALI ya PACOME - PAREDI ya UBINGWA - ALI KAMWE AUNGURUMA...

🔴#Live: YANGA WAFUNGUKA MAZITO - HALI ya PACOME - PAREDI ya UBINGWA - ALI KAMWE AUNGURUMA... ============================================================= ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 760 403894 or 255 783 453136) ⚫️ Email: globaltvonline.newsdesk@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ MAKALA ZA WATU MAARUFU ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx



MIRAJI AWAKA VIONGOZI WETU WASIJIFICHE/KWANINI TUCHEZE KWENYE HII LIGI/YANGA WATATUKERA MARA MBILI
MIRAJI AWAKA VIONGOZI WETU WASIJIFICHE/KWANINI TUCHEZE KWENYE HII LIGI/YANGA WATATUKERA MARA MBILI

If you enjoy this video please give a like and subscribe for more videos like this. Follow us on istagram Ava tv..



🛎KOCHA WA YANGA AMWAGA MACHOZI PACOME KUVUNJIKA
🛎KOCHA WA YANGA AMWAGA MACHOZI PACOME KUVUNJIKA

Kiungo Mshambuliaji wa @yangasc Pacome Zouzoua Amepata Majeraha Mabaya ya Kuvunjika Mguu wake Wakati Mchezo wa Mwisho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania Kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo. Baada ya Mchezaji huyo Nyota @pacom_zouzoua Kupata Majeraha Mabaya ya Mguu wake, Mashabiki wa Soka Afrika wamejitokeza Kumpa Pole Nyota huyu Huku Wengi wakimuombea Kupona Haraka na kurejea Uwanjani kuwatumikia Wananchi. Get Well Soon Pacome Zouzoua .



JKT Tanzania 0-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026
JKT Tanzania 0-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026

Yanga SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuuya NBC 2025/26 kwa kishindo, ikiichapa JKT Tanzania mabao 3-0 kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kutwaa ubingwa wa tano mfululizo. Magoli yamefungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Laurindo Dilson Maria Depu.




Next »


Popular Tags

#Amazing Solo Goals  #Best Ball Controls  #Counter Attack Goals Football  #Boston Celtics  #LeBron James  #Cleveland Cavaliers  #Kyrie Irving  #Best Goalkeeper Saves  #Gareth Bale  #Best Football Defending Skills  

Popular Users

#CNN  #BarackObama  #rioferdy5  #Oprah  #strombone1  #JJWatt  #josecanseco  #J_No24  #WWE  #UKCoachCalipari  #cesc4official  #realDonaldTrump  #KylieJenner  #Buccigross