Simba SC wamewaangushia kichapo cha mabao 8-0 Singida United United katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Uhuru Dar es Salaam. Medie Kagere amepiga mabao manne ikiwa ni hat-trick yake ya pili msimu huu, Deo Kanda amefunga mawili, John Bocco moja na Sharaf Shiboub amefunga goli moja. Haya hapa magoli yote. #LigiKuuTanzaniaBara #VodacomPremierLeague #VPLUpdates #VPL #SimbaSC #SingidaUnited #SimbaSingida Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
🔥HASIRA ZA SIMBA KUPIGWA NA YANGA ZAHAMISHIWA SINGIDA UNITED, YAICHAPA 8-0 KIKOSI cha Simba leo kimeibuka na ushindi wa mabao 8-0 mble ya Singida United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Uhuru. #AzamSportsHD #LigiKuuTanzaniaBara #VodacomPremierLeague #VPLUpdates #VPL #SimbaSC #SingidaUnited #SimbaSingida
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba SC wamewaangushia kichapo cha mabao 8-0 Singida United United katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Uhuru Dar es Salaam. Medie Kagere amepiga mabao manne ikiwa ni hat-trick yake ya pili msimu huu, Deo Kanda amefunga mawili, John Bocco moja na Sharaf Shiboub amefunga goli moja. Haya hapa magoli yote. #LigiKuuTanzaniaBara #VodacomPremierLeague #VPLUpdates #VPL #SimbaSC #SingidaUnited #SimbaSingida Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
"Haikuwa off-side" - Uchambuzi wa James Samwel na Ally Kamwe kuhusu uamuzi wa off side ya Gerson. Je, wewe nini maoni yako? FT: Simba SC 0-1 JKT Tanzania. #AzamSports2 #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPLUpdates #VPL #SimbaSC #SSC #JKTTanzania #SimbaJKT
MATOKEO MECHI ZA LEO #VPL MATOKEO: Mechi zote sita za leo ambapo Coastal Union imefanikiwa kuvunja rekodi ya Namungo FC ya kutopoteza mchezo nyumbani katika msimu huu wa ligi. FT: Yanga 3-2 JKT Tanzania (Sibomana 11’, Balinya 22’, Molinga 35’ : Adam 13’, Lyanga 45’+2) FT: Alliance 2-1 KMC (Geofrey Luseke 15’, David Richard 30’ : Geofrey Luseke 77’ OG) FT: Namungo 1-3 Coasta Union (Reliants Lusajo 16’ : Mtenje Albano 15’, Deogratius Anthony 76’, Paul Bukaba 90’+4 OG) FT: Kagera Sugar 2-1 Lipuli FC (Yusuph Mhilu 10’, Nassoro Kapama 64’ : Paul Nonga 85’) FT: Ndanda 0-2 Polisi Tanzania (Andrew Chamungu 11’, Idd Mobby 83’) FT: TZ Prisons 1-1 Mwadui FC (Samson Mbangula 83’ : Raphael Aroba 70’) #AzamSports2 #AzamSportsHD #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPLUpdates #VPL
HALF-TIME | Mpira ni mapumziko kwenye viwanja vyote sita. HT: Mtibwa Sugar 0-0 Mwadui FC HT: Polisi Tanzania 0-0 Mbao FC HT: Namungo FC 1-0 Ruvu Shooting (Nzigamasabo Styve 45’) HT: Coastal Union 0-1 Alliance FC (Geofrey Luseke 32’) HT: JKT Tanzania 1-0 Mbeya City (Adam Adam 22’) HT: Lipuli FC 2-0 Singida United (Paul Nonga 23’, Daluesh Saliboko 43’) #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPL #VPLUpdates
MATOKEO #VPL FT | Simba SC 4-0 Mbeya City FT | Coastal Union 1-2 Mbao FC. FT | JKT Tanzania 0-1 Tanzania Prisons. FT | Polisi Tanzania 1-0 Alliance FC FT | Ndanda SC 2-0 Ruvu Shooting #VodacomPremierLeague #VPLUpdates #LigiKuuTanzaniaBara
Full time:Simbasc 4-0 Mbeya city Kagere + Shiboub + Kanda #VPLUpdates #AzamSports2 #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPL #SimbaSC #MbeyaCity #SimbaMbeyaCity