Tanzania Prisons wamepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Mbeya City ukiwa ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Sokoine jijini Mbeya. Adili Buha ndiye aliyeitanguliza Prisons dakika ya saba lakini Mbeya City wakachomoa dakika ya 86 kupitia kwa Ssemuju Joseph
Tanzania Prisons wamepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Mbeya City ukiwa ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Sokoine jijini Mbeya. Adili Buha ndiye aliyeitanguliza Prisons dakika ya saba lakini Mbeya City wakachomoa dakika ya 86 kupitia kwa Ssemuju Joseph