Mbeya City FC imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Biashara United katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa leo kwenye Dimba la Sokoine jijini Mbeya. Goli pekee la ushindi kwenye mchezo huu limefungwa na Joseph Ssemuju dakika ya 24.
Tanzania Prisons wamepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Mbeya City ukiwa ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Sokoine jijini Mbeya. Adili Buha ndiye aliyeitanguliza Prisons dakika ya saba lakini Mbeya City wakachomoa dakika ya 86 kupitia kwa Ssemuju Joseph
Tanzania Prisons wamepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Mbeya City ukiwa ni mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Sokoine jijini Mbeya. Adili Buha ndiye aliyeitanguliza Prisons dakika ya saba lakini Mbeya City wakachomoa dakika ya 86 kupitia kwa Ssemuju Joseph