Mtibwa 1-0 Azam | Goli la 'baba Ubaya', kona ya moja kwa moja - VPL 15/7/2020
Mtibwa 1-0 Azam | Goli la 'baba Ubaya', kona ya moja kwa moja - VPL 15/7/2020

Azam FC imepoteza mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar ikifungwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa CCM Shabiby Gairo, mkoani Morogoro. Goli la maajabu limefungwa na Isa Rashid 'Baba Ubaya' kwa kona iliyoingia yenyewe. Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa: ► https://bit.ly/2wB6zmR Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz





Popular Tags

#Russell Westbrook  #Cleveland Cavaliers  #Kobe Bryant  #Kyrie Irving  #Best Goalkeeper Saves  #Michael Jordan  #Best Goalkeeper Saves  #Football Defensive Skills  #Thomas Muller  #Paul Pogba  

Popular Users

#steveaustinBSR  #lindseyvonn  #JayBilas  #ladygaga  #geniebouchard  #BBCBreaking  #JLo  #realDonaldTrump  #sportspickle  #iamsrk  #AntDavis23  #KylieJenner  #KimKardashian  #josecanseco