Mwaka wa saba Derby ya Kariakoo inashindikana kuchezeka, Yupi Kinara wa kuingia mitini ? (Takwimu Kwa Msaada wa Mwansports)
#CAFCL “Warabu watakwenda kuitapika Benjamin Mkapa” maneno ya Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe akiuzungumzia mchezo wao wa Januari 18, 2025 ndani ya dimba la Benjamin Mkapa dhidi ya MC Alger. Ni mchezo wa mwisho kwa timu zote mbili katika hatua ya makundi ya Ligi Mabingwa Afrika (CAFCL) huku akiwaita mashabiki kubeba vichinjio vyao. Yanga jana Jumapili ilishinda kwa goli 1-0 dhidi ya Al Hilal ya Sudan na kufikisha alama saba huku MC Alger ikiwa na alama nane. Mdchi hiyo utaishuhudia LIVE #AzamSports1HD #AzamSports1HD #YangaSafarini #YangaMauritania #AlHilal #YangaSC #AlHilalYanga #CAFCL #CAFChampionsLeague
Hapoel Ramat Gan vs Hapoel Nof HaGalil, Bnei Yehuda Tel Aviv vs Hapoel Ironi Acre, Maccabi Kabilio Jaffa vs Hapoel Kfar Saba ...
Hatimaye Simba imevunja mwiko wa kutopata ushindi kwenye Uwanja wa Kaitaba dhidi ya Kagera Sugar, baada ya leo kuitandika magoli 5-2, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania. Magoli ya Simba yametoka kwa Shomary Kapombe 13', Jean Charles Ahoua 44', Fabrice Ngoma 53, na Stephen Desse Mukwala aliyefunga mawili dakika ya 66 na 85. Magoli ya Kagera Sugar yamefunga na Datius Peter dakika ya 79 na Cleophace Mkandala dakika ya 90. Ilikuwa ni mechi ambayo pia imemshuhudia kwa mara ya kwanza kiungo mpya wa Simba, Ellie Mpanzu aliyecheza kwa takriban dakika 70.
ჩვენი Instagram - https://www.instagram.com/geo__team ჩვენი Facebook - https://www.facebook.com/Geoteamofficial ქართულ ფეხბურთს სერია A-ში 20 წლის, 5 მილიონიანი მცველი ჰყავს. Geo Team ემპოლიში საბა გოგლიჩიძეს ესტუმრა 😍 ✊ Geo Team-ის არხის წარმდგენია Adjarabet
Click ĐĂNG KÝ để đón xem nhiều sản phẩm hay về tin tức thể thao trong và ngoài nước của SABA nhé! ▻ Follow SABA: ...