Mara ya kwanza Timu kutoka Tanzania imetinga hatua ya Fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kumchabanga Marumo Gallants Goli 2 kwa 1 Nyumbani kwake. Mmoja wa Mashuhuda wa Rekodi hiyo ni Mwamba wa Umalila Baraka Adson Mpenja ambae ametoa maoni yake juu ya Rekodi hiyo na Ubora wa Kikosi cha Yanga. Aidha amenyoosha Mikono kwa Nyota Fiston Mayele juu ya Ubora alionao akiwa Kiwanjani, Goli moja na Pasi moja ya mwisho. Mpenja amekiri kuwa Msimu huu Yanga anakuwa Bingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, na Kizazi hiki ndio Kizazi Bora cha Yanga tangu kuanzishwa kwake kwa mujibu wa Rekodi.
Moja opinia, ocena meczu Zagłębia Lubin w piłkarskiej ekstraklasie #cracoviakraków #pasy #zagłębielubin.
Msikie mchambuzi wa soka Ramadhan Mbwaduke akikokotoa idadi ya pasi za Simba SC kwenye mechi zote mbili za Ligi ya ...
W pierwszym sobotnim meczu 29. kolejki PKO BP Ekstraklasy Lechia Gdańsk przegrała z Cracovią 1:2! Bohaterem “Pasów” był ...
Superliga, etapa a 4-a, play-out Mioveni - Hermannstadt 0-2. A marcat: D. Paraschiv 34-pen, 65 Echipe de start: CS MIOVENI: ...
Mzee wa Data Ramadhan Mbwaduke ameuchambua kiundani Mchezo wa Kukamilisha kundi C wa ligi ya Mabingwa Afrika kati ...