MZIZIMA DERBY: Simba FC imeshinda 3-0 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam. Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili akianza Sadio Kanoute dakika ya 63, Fabrice Ngoma dakika ya 77 na David Kameta dakika ya 89. Azam FC walipata penati mapema lakini walikosa kupitia kwa Feisal Salum.... lakini pia kuna utata kuhusu tukio la Azam kupata goli iliyoamuliwa kuwa ilikuwa ni off-side.
SUBSCRIBE NOW: ▶https://t.ly/uwYW7 🌐 Site: https://simbasc.co.tz/ 📱 App: Iphone User: https://apps.apple.com/us/app/simba-sc/id1564389213 📱 App: Android User: https://play.google.com/store/apps/details?id=com.simbasc&pli=1 🔵 Facebook: https://www.facebook.com/simbatanzania/ 📸 Instagram: https://www.instagram.com/simbasctanzania 𝕏 Twitter: https://twitter.com/SimbaSCTanzania 🎶 Tiktok: https://www.tiktok.com/@simbascofficial About the Official Simba SC YouTube Channel: Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference 🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
MZIZIMA DERBY: Simba FC imeshinda 3-0 dhidi ya Azam FC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam. Magoli yote yamefungwa kipindi cha pili akianza Sadio Kanoute dakika ya 63, Fabrice Ngoma dakika ya 77 na David Kameta dakika ya 89. Azam FC walipata penati mapema lakini walikosa kupitia kwa Feisal Salum.... lakini pia kuna utata kuhusu tukio la Azam kupata goli iliyoamuliwa kuwa ilikuwa ni off-side.
Dan Patrick dissects the fallout from the Pacers' Game 2 loss to the Knicks, examining postgame remarks from Indiana head ...
Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like... KUMRADHI Aliyetoa assist ni Aziz Ki na siyo Yao. By Mhariri - Mbwaduke Stats.
SanFrancisco #Giants #mlb #Baseball #BobMelvin #PressConference #KyleHarrison #Happy #Hype #Colorado #Rockies #Like ...
Oakland #Athletics #MLB #Baseball #Highlights #DarellHernaiz #Injury #Pain #Texas #Rangers #Like #Subscribe #Follow ...