Content removal request!


UCHAMBUZI: Simba SC VS Kaizer Chiefs FC | MUNGU TUSAIDIE

Uchambuzi wa mchezo wa robo fainali ya pili ya ligi ya mabigwa afrika kati ya Simba SC dhidi ya Kaizer Chiefs FC, mchezo utakao pigwa kunako dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, majira ya saa 10:00 za jioni kwa saa za Afrika Mashariki.