#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
Yanga SC imeichakaza Tanzania Prisons kwa kichapo cha mabao 5-0 kwenye mchezo wa raundi ya 29 Lig kuu ya NBC uliopigwa Sokoine Stadium, Mbeya... Pacome Zouzoua amefunga magoli mawili, huku mengine yakitoka kwa Mudathir Yahya aliyefungua milango dakika ya 31, Clatous Chama, na Israel Mwenda..
#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi #AzizKi
#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
Yanga imetinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa JKT Tanzania mabao 2-0 kwenye mchezo wa nusu fainali uliopigwa Mkwakwani Stadium, jijini Tanga.... Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yamefungwa na Prince Dube dakika ya 41 na Mudathir Yahya dakika ya 90.
#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi