πŸ›‘#LIVE: WAJUE GABORONE UNITED WAPINZANI WA YANGA CAF,HAPA YANGA WAJIPANGE VIZURI
πŸ›‘#LIVE: WAJUE GABORONE UNITED WAPINZANI WA YANGA CAF,HAPA YANGA WAJIPANGE VIZURI

#Yangasc #GaboroneUnited #CAF Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limefanya droo ya hatua za awali za Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho msimu wa 2026/27, ambapo wawakilishi wa Tanzania wamepata wapinzani wao. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC itakutana na Mighty Wanderers ya Malawi katika raundi ya kwanza ya awali, ikianza ugenini kati ya Septemba 4-6, 2026 na kumalizia nyumbani kati ya Septemba 11-13. Yanga SC nayo imepangwa kucheza dhidi ya Gaborone United ya Botswana, huku ikianza ugenini na kumalizia nyumbani katika tarehe hizo. Endapo Yanga SC itafuzu hatua hiyo, itakutana na mshindi kati ya CFFA ya Madagascar na Lijabatho FC ya Lesotho katika raundi ya pili ya awali kuwania nafasi ya kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kwa upande wa Simba SC, itahitaji kuvuka kikwazo cha Mighty Wanderers ili kuendelea na safari ya kusaka nafasi ya kucheza hatua ya makundi. Katika Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC ambayo imeanzia moja kwa moja raundi ya pili ya awali, itakutana na mshindi wa mchezo kati ya ASAS Djibouti TΓ©lΓ©com ya Djibouti na ZED FC ya Misri. Nayo Singida Black Stars imepangwa kucheza dhidi ya Al Ghazala SC Wau ya Sudan Kusini katika raundi ya kwanza ya awali, ikianza ugenini kati ya Septemba 4-6 na kurudiana nyumbani Septemba 11-13, 2026.



Kuwait 4-3 Tanzania | Highlights | Mechi ya Kirafiki 15/11/2025
Kuwait 4-3 Tanzania | Highlights | Mechi ya Kirafiki 15/11/2025

Ni mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA iliyopigwa kwenye Dimba la Al Salaam, Cairo nchini Misri, na timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars kuchwa 4-3 na Kuwait. Magoli ya Tanzania yamefungwa na M’mombwa 6’, 87’, na Taryin Allarakhia 34’ huku ya Kuwait yakitoka kwa Daham 46’, 52’ Nasser 63’ na Hamdan 69’



Wadi Degla 0-2 Simba SC | Kocha Fadlu ataka Jayruty wafanye unyama, Kibu D afunguka
Wadi Degla 0-2 Simba SC | Kocha Fadlu ataka Jayruty wafanye unyama, Kibu D afunguka

KUTOKA CAIRO MISRI: " ....msimu huu tunahitaji kuwapiku Yanga" Baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Wadi Degla FC inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo, Kocha wa Simba, Fadlu davids anaeleza baadhi ya mambo ambayo ameridhika nayo, na maeneo ambayo bado ana kazi ya kufanya.... Kuhusu kikosi chake, Kocha Fadlu anasema bado wanahitaji angalau mchezaji mmoja mwenye kitu cha ziada (X-Factor) atakayewaongezea kitu hasa kwenye michuano ya kimataifa pamoja na mbio za ubingwa wa #NBCPremierLeague msimu ujao wakilenga kuwa juu ya Yanga ... Fadlu anasema anaamini mdhamini wao upande wa jezi, 'Jayruty', atalimaliza hilo.... Naye mfungaji wa moja kati ya magoli mawili ya Simba, Kibu Denis anazungumza machache kuhusu maendeleo ya kambi nchini Misri.... Patrick Nyembera anakuja na taarifa kamli kuhusu mchezo huo... #SimbaSC #SimbaEgypt #SimbaPreSeason



πŸ”΄#live SIMBA SC vs WADI DEGLA SC LEO ( 2 - 0 ) MECHI YA KIRAFIKI MISRI
πŸ”΄#live SIMBA SC vs WADI DEGLA SC LEO ( 2 - 0 ) MECHI YA KIRAFIKI MISRI

#SimbaSC #golilampanzu #golilakibudenisi #WadiDegla #SimbaVsWadiDegla #MechiYaKirafiki #FriendlyMatch #SimbaSportsClub #EgyptFriendly #CAFFootball #SimbaVsEgypt #FootballAfrica #SimbaInEgypt #SimbaVsWadiDegla #SimbaBingwa #WadiDeglaSC #SimbaDayPreparation #SimbaSC #WadiDegla #SimbaVsWadiDegla #MechiYaKirafiki #FriendlyMatch #SimbaInEgypt #SimbaAfrica #WadiDeglaSC #SimbaSportsClub #KlabuBingwa #FootballAfrica #CAFRepresentatives #SimbaDayPreparation #EgyptFriendly #SimbaVsWadiDegla2025



πŸ”΄#live SIMBA SC vs AL ZURFI LEO ( 1 - 0 ) MECHI YA KIRAFIKI MISRI
πŸ”΄#live SIMBA SC vs AL ZURFI LEO ( 1 - 0 ) MECHI YA KIRAFIKI MISRI

#SimbaVsAlZulfi #golilaahouamisrileo #ahoua #SimbaSC #WekunduWaMsimbazi #NguvuMoja #AlZulfiFC #SaudiTanzaniaClash #ClubFriendly #SimbaDay #EastMeetsMiddleEast #SimbaMnyama #NguvuYaSimba #LigiBilaShida #FootballUnites #GameDay #MchezoWaKihistoria #WeAreSimba #ZulfiPower #SimbaVsZulfi2025 #TanzaniaVsSaudi #SimbaNation#FootballFamily #InternationalFriendly



‘’NI KWELI TUMEFUNGWA GOLI 4 MISRI KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI’’
β€˜β€™NI KWELI TUMEFUNGWA GOLI 4 MISRI KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI’’

Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ π‘ͺπ’π’‘π’šπ’“π’Šπ’ˆπ’‰π’• Β©2025 π‘Ύπ’‚π’”π’‚π’‡π’Š π‘΄π’†π’…π’Šπ’‚. 𝑨𝒍𝒍 π’“π’Šπ’ˆπ’‰π’•π’” 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm



AHMED ALLY  amjibu ally kamwe KUFUNGWA 4 MISRI/ AFICHUA sajili 3 za moto/ SIMBA DAY na jezi MPYA
AHMED ALLY amjibu ally kamwe KUFUNGWA 4 MISRI/ AFICHUA sajili 3 za moto/ SIMBA DAY na jezi MPYA

Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe YouTube channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp




Next »


Popular Tags

#Russell Westbrook  #Paul George  #Amazing Solo Goals  #Mesut Ozil  #Kevin Durant  #Lionel Messi  #Neymar  #Michael Jordan  #Best Goals  #Los Angeles Lakers  

Popular Users

#BadgerMBB  #jimmyfallon  #elonmusk  #RobGronkowski  #DeAndre  #blakegriffin23  #ladygaga  #LAKings  #KevinHart4real  #JJWatt  #UKCoachCalipari  #criscyborg  #nyt4thdownbot  #richarddeitsch  #TheChristinaKim