Ni mechi ya kirafiki ya kalenda ya FIFA iliyopigwa kwenye Dimba la Al Salaam, Cairo nchini Misri, na timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars kuchwa 4-3 na Kuwait. Magoli ya Tanzania yamefungwa na M’mombwa 6’, 87’, na Taryin Allarakhia 34’ huku ya Kuwait yakitoka kwa Daham 46’, 52’ Nasser 63’ na Hamdan 69’
KUTOKA CAIRO MISRI: " ....msimu huu tunahitaji kuwapiku Yanga" Baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Wadi Degla FC inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo, Kocha wa Simba, Fadlu davids anaeleza baadhi ya mambo ambayo ameridhika nayo, na maeneo ambayo bado ana kazi ya kufanya.... Kuhusu kikosi chake, Kocha Fadlu anasema bado wanahitaji angalau mchezaji mmoja mwenye kitu cha ziada (X-Factor) atakayewaongezea kitu hasa kwenye michuano ya kimataifa pamoja na mbio za ubingwa wa #NBCPremierLeague msimu ujao wakilenga kuwa juu ya Yanga ... Fadlu anasema anaamini mdhamini wao upande wa jezi, 'Jayruty', atalimaliza hilo.... Naye mfungaji wa moja kati ya magoli mawili ya Simba, Kibu Denis anazungumza machache kuhusu maendeleo ya kambi nchini Misri.... Patrick Nyembera anakuja na taarifa kamli kuhusu mchezo huo... #SimbaSC #SimbaEgypt #SimbaPreSeason
#SimbaSC #golilampanzu #golilakibudenisi #WadiDegla #SimbaVsWadiDegla #MechiYaKirafiki #FriendlyMatch #SimbaSportsClub #EgyptFriendly #CAFFootball #SimbaVsEgypt #FootballAfrica #SimbaInEgypt #SimbaVsWadiDegla #SimbaBingwa #WadiDeglaSC #SimbaDayPreparation #SimbaSC #WadiDegla #SimbaVsWadiDegla #MechiYaKirafiki #FriendlyMatch #SimbaInEgypt #SimbaAfrica #WadiDeglaSC #SimbaSportsClub #KlabuBingwa #FootballAfrica #CAFRepresentatives #SimbaDayPreparation #EgyptFriendly #SimbaVsWadiDegla2025
#SimbaVsAlZulfi #golilaahouamisrileo #ahoua #SimbaSC #WekunduWaMsimbazi #NguvuMoja #AlZulfiFC #SaudiTanzaniaClash #ClubFriendly #SimbaDay #EastMeetsMiddleEast #SimbaMnyama #NguvuYaSimba #LigiBilaShida #FootballUnites #GameDay #MchezoWaKihistoria #WeAreSimba #ZulfiPower #SimbaVsZulfi2025 #TanzaniaVsSaudi #SimbaNation#FootballFamily #InternationalFriendly
Pata habari motomoto za muziki, burudani, utamaduni, siasa, matukio, habari za kina, na michezo kupitia Wasafi Media. Hii Ni Yetu Sote. https://wasafimedia.co.tz/ 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2025 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅. #wasafi #wasafitv #wasafifm
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe YouTube channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp