Tazama namna mashabiki wa Mashujaa FC walivyotua 'kibabe' ndani ya jiji la Mbeya kuelekea kwenye mchezo wao wa mkondo ...
Huku kiingilio bure kule bao laki 6 NYIE...NYIE Mbeya ni pamoto ๐ฅ Mbeya City wanahitaji mabao 2 kwa masharti ya kuto kuruhusu bao wakati Mashujaa wanahitaji sare tu au hata kufungwa kwa utofauti wa bao 1 tu. Shuka ๐
Mashabiki wa MASHUJAA FC alivyotimba katika Dimba kwenda kuwakabili MBEYA City.
Tunawatakia kila la heri Mashujaa Fc katika mchezo wa mkondo wa pili wa Playoff dhidi ya Mbeya City utakaochezwa katika Uwanja wa Sokoine - Mbeya. @kigomaras @KigomaUjijiMC #mapigonamwendo #mainfmtanzania #kigoma #tumekufikia
... ๐จ | Kila bao laki sita. WakatiI mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera akitangaza kiingilio bure katika mechi ya marudiano ya play-off kati ya Mbeya City na Mashujaa, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amejibu mapigo akitangaza Sh 600,000 kwa kila bao
Karibu katika #ASUBUHIHII ya #TBCTAIFA ikiwa ni #MICHEZONABURUDANI leo - Mchezaji yupi unadhani hakupaswa kupigwa "Thank You" Mbeya City Vs Mashujaa nani kuibuka Mbabe - Karibu sana