Mtangazaji kinara wa Mpira wa Miguu kutoka Azam Tv Baraka Mpenja na Mkurugenzi Mtendaji ndani ya Mpenja Tv amezungumza hisia Zake baada ya Kutangaza Mechi ya Robo Fainali ambayo Simba Sc wametinga Nusu Fainali huku akikoshwa na kiwango cha Elie Mpanzu….