Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi yanayofanyika kitaifa jijini Arusha pamoja na mambo mengine, yamenogeshwa na kikundi cha vijana, maarufu kama wadudu kupita na kutoa salamu kwa mgeni rasmi. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ni mgeni rasmi wa maadhimisho hayo. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
Mtangazaji Mwandamizi wa soka nchini, Baraka Adson Lamsi Mpenja, maarufu Mwamba wa Umalila, Fahari ya Itete, Sauti ya Radi, amekutana na kufanya Mazungumzo maalumu na Watangazaji vinara wa kandanda kutoka Azam Media LTD, Gharib Mzinga na Ayubu Hinjo. Wamezichambua mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Machi 29, Simba vs Al Ahly na Machi 30, Yanga vs Mamelodi Sundowns.
Shabiki wa yanga kindakindaki maarufu kama Gody Yanga amwagika baada ya inshu ya mchezaji wa Azam Fc Prince Dube kuachana na klabu yake huku akidai kuwa hana furaha kwenye kikosi chake #yangatv #yangatv #live #wcb #yangasc #diamond #simbatv #singidafountaingate #kondegang #simbasc #singidafountaingate #simbatv #diamond #yangasc #wcb #live #live #wcb #yangasc #diamond #simbatv #singidafountaingate #kondegang #kondegang #singidafountaingate #simbatv #diamond #yangasc #wcb #live #live #live #yangasc #simbatv #singidafountaingate
Mdau wa Soka Fredy Kweka maarufu kwa jina la Mwalimu Yanga akimwaga tambo zake kuelekea Mchezo wa Marudiano wa ...
MCHAMBUZI MAARUFU WA WASAFI GEORGE AMBANGILE AMEKICHAMBUA KIKOSI CHA YANGA MARA BAADA YA ...
Shabiki maarufu wa Simba Sc K Mziwanda amesema mtibwa walistahili kufungwa goli 5 nazaidi. amevionya vilabu vingine kuwa ...
Muigizaji wa filamu nchini Tanzania maarufu Kwa jina la Mboto Haji akizungumzia ubora wa wachezaji wa timu ya Yanga Sc ...
Leo Agosti 23 2022 Mpenja Tv tunakuletea Mahojiano na Shabiki maarufu wa Yanga Anuar Said 'Kigelegele Yanga' kuhusu ...