Kocha Mpya Simba SC Atajwa | Ibenge Atatua Simba Kila Kitu Tayari | Bifu Lake na Chama Limeisha
Benjamin Mkapa Kama Mbele | Utapenda Maandalizi ya AFL , Nyasi ,Majukwaa Uhakika,Simba Washindwe Wao mechi dhidi ya Al Ahly Ijumaa
Tunajua Haji Anakera anafanya hivi na vile, ni aina ya watu ambao kufika umri ule kumrekebisha ni kazi sana Hivyo TFF Waangalie sababu wakati mwingine ni mtu wa 'mood' nashauri awe na heshima kwa watu ajirekebishe, ajifunze 'OSIAH KATIBU WA ZAMANI WA TFF'