Tunajua Haji Anakera anafanya hivi na vile, ni aina ya watu ambao kufika umri ule kumrekebisha ni kazi sana Hivyo TFF Waangalie sababu wakati mwingine ni mtu wa 'mood' nashauri awe na heshima kwa watu ajirekebishe, ajifunze 'OSIAH KATIBU WA ZAMANI WA TFF'