Mchambuzi wa Soka, Gharib Mzinga ametoa mtazamo wake kuhusu mechi ya marudiano hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo Mamelodi Sundowns itacheza nyumbani dhidi ya Yanga Aprili 05, 2024 nchini Afrika Kusini. Gharib amesema Yanga inabidi iwe makini zaidi na eneo la kiungo la wapinzani wao kwa sababu linaonekana kuwa ni hatari zaidi wanapotafuta bao. Pia amegusia rekodi ya Mamelodi Sundowns katika mechi tano za mwisho kwenye mashindano hayo wakiwa nyumbani kwao. Je, unakubaliana na mtazamo wa Gharib Mzinga✍️? #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj
ZILIZONIFIKIA FRIJI BOVU HIVI : SIMBA WAKAMILISHA USAJILI WA KIUNGO MSAMBAZA UPENDO DIAKITE WA MALI #yanga #azamfc #simba #football #footballclub #simbasc #millardayo #wasafi
Kiungo wa Kmc Awesu Awesu amefanya mahojiano na kituo cha habari cha Rickmedia kuhusian na tetesi za kuwasiliana na raisi wa Yanga Eng Hersi Said juu ya kutua kikosi cha yanga, Kiungo huyo amefunguka mengi akiweka wazi kuwa ni kweli amekuwa akiwasiliana na raisi wa Yanga na walishazungumza juu ya kutua Yanga . Lakini pia kiungo huyo amegusia sakata la kusema wao (Kmc) wanajikaza wakikutana na Simba tu lakini wakikutana na Yanga mambo yanakuwa tofauti .. ........................................................... Contact Us : 0742447854 ------------------------------------------------------------------------------- Instagram https://www.instagram.com/rickmediatz/?hl=en --------------------------------------------------------------------------------- Facebook https://web.facebook.com/rickmediatz --------------------------------------------------------------------------------- Website www.rickmediatz.com -----------------------------------------------------------------------------------
Tazama hapa Dakika kumi za Mdaka Mishale akicheza Afcon dhidi ya Sout Africa Moto wake wachambuzi wamekubali kaoko michomo hatari #djiguidiarra #Mali #Percutau
Kuelekea AFCON mfahamu Mtanzania Mzungu aliyezaliwa ulaya na kukulia Ulaya Akaikataa Timu ya Taifa ya England na akaichagua stars Tazama Uwezo Wake Fundi sana anacheza Winga au Kiungo #Stars #taifastars #AFCON2023-2024
Alichokisema Kiungo Mpya wa Simba BABOU CHAM Athibitisha Kusajiliwa SIMBA Kurithi Nafasi ya CHAMA #baboucham #wachezajiwaliosajiliwasimba #wachezajiwapyawasimba #usajiliwasimba #simbasc #tetesizausajili #yangasc #dirishadogolausajili #meziane #usajiliwasimba #simbasc #abderahmanemeziane #chama #simbakumfungiachama #simbasc #jwanenggalaxy #yangasc #alahly #wachezajiwanaotemwasimba #dirishadogolausajili #simba #simbaleo #simbasc #asecmimosas #ligiyamabingwaafrika #cafcl #yangasc #crbelouizdad #kochampya #abdelhackbenchka #kochampyawasimba #taifastars #tanzania #simbasc #yangasc #ligikuutanzania #magoliyoteleo #nbc #azamfc #ligikuu #tanzania #yanga #azamtv #trending #youtube #usajilisimba #usajiliyanga #tetesizausajili #dirishadogolausajili #dirishakubwalausajili #2023 #wachezajiwanaotemwasimba #wachezajiwanaotemwayanga #usajili #simba #magoli #chama #maxinzengeli #manara #alikamwe #ahmedally #gsm #moodewji #raissamia #samiasuluhu #caf #cafcc #cafcl #harmonize #diamondplatnumz #alikiba #wcb #wasafi #millardayo #wasafitv #music #football #news #sports #samatta #novatusdismas #ccm #chadema #zanzibar #africa #cecafa #live #ngaiyajamii #fifa #messi #ronaldo