Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ally Kamwe ametua Dodoma na kulakiwa na Mashabiki wa Yanga. Safari ya kuelekea Rwanda kituo cha kwanza kupumzika baada ya kuanzia Dar Es Salaam ni Dodoma ambapo Semaji la Wananchi amepata Nyama Choma pamoja na Mashabiki wa Yanga. Pia ameeleza namna Safari ilivyo mpaka sasa na kituo kinachofuata kwa mapumziko ni Kahama kisha kuitafuta Kigali Rwanda.
JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 https://pmbet.co.tz/en/auth/signup?utm_source=Youtube_pmtv&utm_medium=Video&utm_campaign=registrations NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA IST NA NISSAN DUALIS TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU INSTAGRAM @pmtvtz TWITTER @Pmtvtz TIKTOK @Pmtvtz
cameroonvsburundi Live Stream on #bvnrwanda with Clement #entertainment #rwanda #africa #kigali #trending.
kigali rwanda#kigali 2023#visit rwanda#ligi kuu#Yanga#pacome zouzoua skills#pacome zouzoua asec mimosas#pacome ...
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally kamwe amezungumza namna Timu inavyoendelea kujifua kwa ajili ya mchezo wa ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AL Merrikh ya Sudan,utakaochezwa Sept 16,2023 Uwanja wa Pele Kigali Rwanda. Kamwe amesema yapo Mabasi 24 kutoka Mikoa mbalimbali yatakayopeleka Mashabiki wa Yanga Rwanda,yakiwemo Mabasi ya Viongozi ambayo hadi sasa mawili yameshajaa,Basi la Rais wa Timu Eng. Hersi Said na Makamu wake Arafat Ally Haji.