#Yangasc #Yangaleo #alikamwe #usajilimpyayanga #Enghersi Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Justice Figuareido kutoka Chipa United South Africa raia wa Eswatin ,TAKWIMU ZA JUSTICE FIGUAREIDO | MSIMU WA 2025/26 ๐ธ๐ฟ Nyota wa kimataifa wa Eswatini, Justice Figuareido, ambaye hucheza kama winga na pia mshambuliaji wa kati ๐ฟ๐ฆ BETWAY PREMIERSHIP (Chippa United) โฝ Mechi: 26 ๐ฅ Magoli: 2 ๐ฏ Asisti: 5 โฑ๏ธ Dakika alizocheza: 1,858 ๐ FIFA World Cup Qualifiers (Eswatini) ๐ธ๐ฟ Mechi: 9 โฝ Magoli: 3 2. Thulani Gumede winga huyu kutoka Richardbay ya Afrika kus Rasmi niko hapa kuthibitisha Young Africans SC ๐น๐ฟ ipo hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Winga Thulani Gumede mwenye umri wa miaka (25) raia wa Afrika Kusini ๐ฟ๐ฆ kutoka Richards Bay FC kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao 2026-27. Thulani Gumede ni pendekezo la kocha mpya wa Klabu hiyo Manqoba Mngqithi, Hii ni mara baada ya kumkosa Winga Keletso Makgalwa aliyetimkia Simba SC kwa ushawishi mkubwa zaidi wa kocha Steve Barker, Gumede ana uwezo wa Kucheza Winga ya Kulia na Kushoto kwa ustadi mkubwa, Akiwa na Richards Bay amefunga Mabao (5) na Assists (5) katika Mechi (64). 3.Nasri Kombo Kutoka TRA United 4.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi/Winga Mashujaa 5.Azizi Ki 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Samba Kone Kutoka Muna FC ya Ivory Coast Mlinzi wa Kushoto 8.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate . Emmanuel Flomo ๐นKlabu ya wananchi Yanga imefikia makubaliano binafsi (personal terms) na winga hatari wa kulia wa Liberia na klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan,Emmanuel Flomo (18). -Yanga wanajaribu utaratibu wa kuvunja mkataba wa mchezaji huyo katika klabu yake ya Al Hilal ya Sudan. -Flomo amefunga mabao 12 Msimu uliopita na kuibuka mchezaji chipukizi katika ligi ya Rwanda. Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy free agent 8. Farid Mussa free agent 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma 13. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda Singida 14. Bakari Mwamnyeto mchezaji huru mkataba imeisha amepunguziwa mshahara na anasubiriw asaini 15. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Wachezaji wa Kigeni waliosalama Yanga Sc 1.๐ฒ๐ฑ Djigui Diarra 2.๐จ๐ฎ Yao Kouassi 3.๐ฐ๐ช Duke Abuya 4.๐จ๐ฉ Maxi Nzengeli 5. ๐ฆ๐ด Laurindo Depu 6.๐บ๐ฌ Allan Okello 7.๐จ๐ฎ Pacome Zouzoua Kwa undani Zaidi tumekuwekea video nzima hapa MABENA TV Subscribe upate mengi Zaidi
RSSB Tigers BBC yanditse amateka yo kuba ikipe ya mbere yo mu Rwanda yageze ku mukino wa nyuma mu marushanwa ya ...
The Basketball Africa League (BAL), a partnership between the International Basketball Federation (FIBA) and the National ...
Petro de Luanda's Yanick Moreira (#2) and Head Coach Sergio Valdeolmillos, alongside Dar City's Hasheem Thabeet (#34) and ...
Al Ahly Ly's Donovan Williams (#3) and Head Coach Fotios Katsikaris, alongside Club Africain's Makhtar Gueye (#5) and Head ...
Al Ahly's Zachary Lofton (#11) and Head Coach Pantelis Gavriel, alongside ASC Ville de Dakar's Mamadou Lamine Diop (#5) and ...
FUS Rabat's Will Perry (#4) and Head Coach Said El Bouzidi, alongside RSSB Tigers' Craig Randall II (#12) and Head Coach ...
The Basketball Africa League (BAL), a partnership between the International Basketball Federation (FIBA) and the National ...