DAKIKA 15 ZA SIMBA VS AZAM FC, (1 -0) VPL MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba ameendeleza moto wake wa kucheka na nyavu baada ya kupachika bao lake la saba ndani ya ligi na kuipa pointi tatu timu ya Simba mbele ya Azam FC. Mchezo wa leo ambao umechezwa uwanja wa Taifa ulikuwa na ushindani mkubwa na ulitawaliwa na ubabe mwingi kutokana na kila timu kuhitaji kupata pointi tatu. Simba wakiwa wenyeji wa mchezo iliwabidi wasubiri mpaka dakika ya 49 kuandika bao la kuongoza lililopachikwa kimiani na Kagere akimalizia pasi ya Francis Kahata kwa kichwa. Ushindi huo unaifanya Simba kuzidi kujikita kileleni ikiwa na pointi 15 na imecheza michezo mitano kwa kusepa na pointi zote tatu. Beki wa Simba, Pascal Wawa ndiye alikuwa nyota wa mchezo kwani aliokoa hatari nyingi kutoka kwa Chirwa ambaye alikuwa msubufu langoni akihaha kupata goli la ushindi ila bahati haikuwa yao. Simba ilifanya mabadiliko kipindi cha pili kwa kumtoa Sharaf Shiboub nafasi yake ikachukuliwa na Clatous Chama, Hassan Dilunga alimpisha Miraj Athuman, Francis Kahata alimpisha Ibrahim Ajib kwa upande wa Azam FC alitoka Richard Djoud YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) --------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEWS: https://www.youtube.com/playlist?lialiyempisha Chilunda, Frank Domayo alimpisha Donald Ngoma.
Kocha AZAM Amlalamikia MWAMUZI - "SIMBA Hawajapewa KADI Za NJANO, Tulifanya MAKOSA" Mchezo wa leo ambao umechezwa uwanja wa Taifa ulikuwa na ushindani mkubwa na ulitawaliwa na ubabe mwingi kutokana na kila timu kuhitaji kupata pointi tatu. Simba wakiwa wenyeji wa mchezo iliwabidi wasubiri mpaka dakika ya 49 kuandika bao la kuongoza lililopachikwa kimiani na Kagere akimalizia pasi ya Francis Kahata kwa kichwa. Ushindi huo unaifanya Simba kuzidi kujikita kileleni ikiwa na pointi 15 na imecheza michezo mitano kwa kusepa na pointi zote tatu. YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) --------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEWS: https://www.youtube.com/playlist?li
GOLI LA MEDDIE KAGERE - SIMBA VS AZAM FC 1 -0 MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba ameendeleza moto wake wa kucheka na nyavu baada ya kupachika bao lake la saba ndani ya ligi na kuipa pointi tatu timu ya Simba mbele ya Azam FC. Mchezo wa leo ambao umechezwa uwanja wa Taifa ulikuwa na ushindani mkubwa na ulitawaliwa na ubabe mwingi kutokana na kila timu kuhitaji kupata pointi tatu. Simba wakiwa wenyeji wa mchezo iliwabidi wasubiri mpaka dakika ya 49 kuandika bao la kuongoza lililopachikwa kimiani na Kagere akimalizia pasi ya Francis Kahata kwa kichwa. Ushindi huo unaifanya Simba kuzidi kujikita kileleni ikiwa na pointi 15 na imecheza michezo mitano kwa kusepa na pointi zote tatu. Beki wa Simba, Pascal Wawa ndiye alikuwa nyota wa mchezo kwani aliokoa hatari nyingi kutoka kwa Chirwa ambaye alikuwa msubufu langoni akihaha kupata goli la ushindi ila bahati haikuwa yao. Simba ilifanya mabadiliko kipindi cha pili kwa kumtoa Sharaf Shiboub nafasi yake ikachukuliwa na Clatous Chama, Hassan Dilunga alimpisha Miraj Athuman, Francis Kahata alimpisha Ibrahim Ajib kwa upande wa Azam FC alitoka Richard Djoud aliyempisha Chilunda, Frank Domayo alimpisha Donald Ngoma. YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) --------------------------------------------------------------------------------------- HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEWS: https://www.youtube.com/playlist?li
Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars FULL TIME: SIMBA SC 2-1 MTIBWA SUGAR Dak ya 90+3, kadinya njano inakwenda kwa Salum Kanoni, dakika za jioni kabisa. Dakika zimeongezwa tatu kumaliza mpira, zimesalia mbili sasa. Dak ya 90, Jonas Mkude anaingia kuchukua nafasi ya Shiboub Dak ya 81, Imepigwa faulo ile kwake Kahata inamkuta na anajaribu kumalizia lakini mpira unamzidi kasi, golikiki. Dak ya 81, Mtibwa wanacheza faulo, inapigwa kuelekezwa langoni kwao, nafasi ya Simba kupata bao la tatu. Dak ya 79, Kahata anaingia kuchukua nafasi ya Chama. Dak ya 77, Kona nyingine kwa Simba, ni baada ya Kapombe kubabatizana na Kapombe. Inapigwa lakini inakuwa golikiki. Dak ya 74, Simba wanaanza tena upya, Yassin kwake Athuman, piga kwake Kado anadaka mpira. Dak 68, Mirajiiiiii, anaifungia Simba bao la pili kwa shuti kali akitoka kupokea pasi nzuri kutoka kwa Shiboub Dak ya 67, Mtibwa wanaonesha jitihada za kulinda zaidi eneo lao na wakifanya mashambulizi ya kushtukiza kwa Simba. Dak ya 63, Simba wamefanya shambulizi la kutisha langoni mwa Mtibwa lakini mawasiliano yamekuwa si mazuri na Mtibwa wanaokoa. Dak ya 62, Miraji Athuman anaingia kuchukua nafasi ya Hassan Dilunga. Dak ya 60, Simba wameanza tena, Chama anachukua, anampasia Nyoni, wanajribu kupenya ngome ya Mtibwa, kwake Kagere lakini Mtibwa wanawadhibiti. Dak ya 57, Tayari Kado ameshasimama na mpira umeshaanza, Simba wanaanza kwa kupasiana vema langoni mwa Mtibwa, unamkuta kwake Chama, anapiga shuti ambalo linapaa nje ya lango. Dak ya 55, Mpira umesimama, Kado ameumia, Kahata naye anaonekana kama anataka kuchukua nafasi ya mtu. Dak ya 52, Kado anaokoa nafasi nyingine kutoka kwa Yassin aliyepata nafasi ya kufunga, kama angekuwa dhaifu angeshafungwa zaidi ya bao mbili. Dak ya 52, Kagere anaotea, anaonekana kulalamika kwa kuonesha ana njaa ya kufunga. Dak ya 49, Aishi Manula anaanzisha upya mashambulizi, ni kipindi cha pili sasa. MAPUMZIKO: SIMBA SC 1-1 MTIBWA SUGAR Dak ya 47, Chama amepiga lakini inakwenda nje. Dak ya 46, Humud anapewa kadi ya njano baada ya kucheza madhambi, ni ya kwanza ndani ya dakika 45 za kwanza, ni faulo. Dak ya 44, Fraga anababatizana na mchezaji wa Mtibwa, mpira unakwena nje, unarushwa kuelekea Mtibwa. Dak ya 42, Tayari Shiboub alishaamka, na zikiwa zimesalia dakika mbili mpira kwenda mapumziko. Dak ya 41, Shiboub anafanyiwa madhambi, na mpira umesimama kwa muda. Dak ya 38, Kanoni anatolewa nje na machela baada ya kuumia, matokeo bado ni 1-1. Dak ya 37, Chamaaaaa, pata nafasi moja maridadi kabisa lakini shuti lake linakwenda moja kwa moja kwa Kado kwa kulidaka. Dak ya 33, Inapigwa lakini inakwenda moja kwa moja kwa Manula ambaye anapangua na kuuelekeza eneo la kati mwa uwanja. Dak ya 32, Mtibwa wanapata faulo, anakwenda kupiga Salum Kanoni, piga mkwaju mkali unapanguliwa na Manula, inakuwa kona. Dak ya 31, Mtibwa wanajichanganya eneo lao la ulinzi, Simba wanaudaka kwake Kagere, bahati si yake. Kipa anadaka. Dak ya 30, ni kona nyingine inapigwa kuelekezwa Mtibwa, anapiga Chama, piga kule lakini inababatizwa na wachezaji wa Simba, golikiki. Dak ya 28, Mpira umesimama kwa muda, mchezaji wa Mtibwa ameumia. Dak ya 27, Offside kwa, mpira unachezwa na Mtibwa. Dak ya 25, Kapombe anapasiana na Chama eneo la kati mwa Uwanja, maelewano yanakuwa si mazuri, na mpira unakuwa golikiki, unaelekezwa Simba. Dak ya 24, Mpira unarushwa kuelekea lango la Mtibwa, ni karibu na eneo la kona, umesharushwa na unatolewa tena. Dak ya 21, Rifat Hamis anaisawazishia Mtibw aSugar kwa mpira wa kichwa ulitokana na kona, ni 1-1. Dak ya 17, Goooli, Meddie Kagere anafunga bao la kwanza baada ya Simba kupasiana vema katika eneo la hatari, sasa ni 1-0. Dak ya 10, Golikiki imetokea upande wa Simba, wanaanza upya kwake Manula. Dak ya 9, Simba wanapata kona ya kwanza,wanapiga lakini inatolewa nje na Mtibwa, wanaenda kurusha, Chama anarusha. Dak ya 7, Simba wanatandaza pasi nzuri kuelekea Mtibwa, kwake Shomari Kapombe, anapiga krosi ambayo inashindwa kuzaa matunda. Dak ya 6, Kado anaokoa mpira uliopigwa na Chama akiwa peke yake, ni nafasi ambayo Simba wamngeshaandika bao. Dak ya 6, Bado Simba wanaonekana kuutawala mchezo zaidi ya Mtibwa kwa dakika hizi sita za mwanzo. Dak ya 4, Simba wanaanza faulo kwa kupasiana, anapiga Nyonii, inaokolewa na mabeki wa Mtibwa. Dak ya 3, Zimbwe Jr anakokotoa mpira na guu la kushoto kushoto mwa uwanja, mchezaji Awadhi Salum wa Mtibwa anashikana mkono, faulo. Dak ya 3, Manula anadaka mpira, anaanzisha mashambulizi upya. Dak ya 2, Rifat Hamis wa Mtibwa anapandisha mashambulizi kwenda Simba, ni la kwanza. Dak ya 1, mechi imeshaanza Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, na Simba wameanza kwa kushambulia kwa kasi lango la Mtibwa. Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars
KIKOSI CHA SIMBA Kilichoanza VS JKT TANZANIA TAIRONE , KAGERE Kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya JKT Tanzania 1. Aishi Manula 2. Haruna Shamte 3. Mohamed Hussein 4. Tairone Da Silva 5. Erasto Nyoni 6. Gerson Fraga 7. Deo Kanda 8. Mzamiru Yassin 9. Meddie Kagere 10. Clatous Chama 11. Hassan Dilunga Kikosi cha akiba 12. Beno Kakolanya 13. Gadiel Michael 14. Kennedy Juma 15. Sharaf Shiboub 16. Francis Kahata 17. Miraji Athuman 18. Ibrahim Ajibu https://www.youtube.com/playlist?list... https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
#SimbaSC #UdSongo #SoccerData Wikiendi hii Simba ilicheza mechi ya Kimataifa dhidi ya UD Do Songo ya Nchini Msumbiji, ikiwa ni mechi ya marudiano katika mashindano ya ligi ya mabaingwa Afrika hatua ya mchujo yaani preliminary stage. Katika matokeo ya awali Simba ilitoka sare tasa, hivyo katika mchezo wa marudiano Simba ilihitaji ushindi wowote ule. Simba imetoka sare pacha ya goli moja kwa moja, na kuilazimisha Simba kutupwa nje ya mashindano. Ud Songo wamepita hatua hii na sasa watakutana na FC Platnum kwa faida ya goli la ugenini. Channeli inakuletea Uchambuzi wa kiufundi wa mechi hii, hapa utapata kujua mbinu za walimu wa timu zote mbili, wapi kulikuwa na udhaifu, vikosi vya timu zote mbili, na ni kwanini Simba ilipata matokeo iliyoyapata, walikwama wapi kimbinu na kimkakati. Ungana na chaneli hii sasa kwa KU SUBSCRIBE NA KISHA bofya alama ya Kengele, kufanya hivyo kutakufanya usikose video zingine za kiuchambuzi zenye lengo la kuweka mambo sawa kiufundi.
Caf Champions League | Simba SC vs UD Songo 1-1 | Goals & Highlights (25.08.2019). Caf Champions League: UD Songo knock out Simba SC. The Tanzanian giants have been knocked out of the competition after the visiting Mozambican side snatched a vital away goal Simba SC have been knocked out of the Caf Champions League after drawing 1-1 against UD Songo of Mozambique on Sunday. A late penalty by Erasto Nyoni was not enough to keep the Msimbazi Reds in the competition as Songo progressed to the next round on the away goal rule. Luis Misquissone scored UD Songo's goal in the first half. Misquissone found Simba SC's net in the 14th minute and the Tanzanian side could not recover until almost the last minute for Nyoni to score an equalizer which was not enough for them. Head coach Patrick Aussems made a change in the 41st minute as he withdrew Kenyan midfielder Francis Kahata and threw Hassan Dilunga into action. The change did not bring the desired results for the Tanzanian champions. Mirajii Athumani, who replaced Gadiel Michael in the 77th minute, was brought down in the 84th minute for Simba SC to be awarded a penalty which they pulled parity from. Simba SC XI: Aishi Manula, Shomari Kapombe, Gadiel Michael, Erasto Nyoni, Pascal Wawa, Jonas Mkude, Deo Kanda, Sharaf Shiboub, Meddie Kagere, Clatous Chama and Francis Kahata. Subs: Beno Kakolanya, Mohammed Hussein, Dos Santos, Gerson Vieira, Mzamiru Yassin, Hassan Dilunga and Miraj Athumani. Caf Champions League Wrap: In Kenya, a Nicholas Kipkirui brace, strikes from Dickson Ambundo and Boniface Omondi as well as an own goal helped Gor Mahia to a 5-1 win over Aigle Noir. Benjamin Gasongo netted a consolation for the visitors, but it didn’t change the course of the tie given the first-leg a fortnight ago ended goalless. Kano Pillars were knocked out of the continental club competition following a 2-0 defeat by Asante Kotoko. The Ghanaian outfit went in front in the 12th minute through Kelvin Andoh, and it stayed that way till the 81st minute when Emmanuel Gyamfi scored the hosts’ second of the game. The Porcupines progress to the next round at Pillars’ expense after overturning a 3-2 defeat in Kano. In Mauritius, Fosa Juniors progressed to the next round after a 1-1 draw with Pamplemousses SC saw them qualify 2-1 on aggregate, as it ended 1-0 to the side from Madagascar in the first leg. Jean Fabrini Razah opened the scoring for the hosts in the 12th minute, but Santatra Andriamamonjy pegged them back just after the hour mark to carry the visitors through. Mekelle 70 Enderta and Cano Sport Academy played out to a 1-1 draw in their encounter on Sunday afternoon. Amanuel Gebremichael put the hosts in front in the 13th minute, but Benjamin Naone levelled in the 39th minute. It stayed that way, and the Malabo-based club progress 3-2 on aggregate, after winning the first-leg 2-1. In Tanzania, Simba SC and Uniao Desportiva Do Songo had everything to play for following their 0-0 draw two weeks ago. It ended 1-1 after 90 minutes, after goals from Luis Misquissone for Unaio and a late leveller by Erasto Nyoni for Simba, saw the visitors progress on away goals. Elsewhere, two second-half goals for Elect-Sport FC saw them defeat Cercle Mberi Sportif 2-0 on the day, and also on aggregate because the reverse fixture ended goalless. An Isaac Mensah effort in the 37th minute helped Atletico Petroleos de Luanda to a 1-0 win over Matlama at Estadio 11 de Novembro. Given the Angolan club won 2-0 in Lesotho, they progress to the next round 3-0 on aggregate. In Togo, a late Richard Nane goal for ASC Kara saw the Togolese side win Buffles du Borgou 1-0. It ended 1-1 a fortnight ago, so the 2-1 aggregate score means Kara go through. Horoya progressed to the next round 2-1 on aggregate at Stade Malien’s expense following a 1-0 win in Guinea. Dramane Nikiema netted the only goal of the game in the 24th minute to take the pre-match favourites through. Following a scoreless draw between Vita Club and UMS de Loum in the first-leg, there was a lot riding on their rematch in Congo. It took a Zakaria Mumuni goal on the hour mark to seal a 1-0 win for Vita Club, who progress to the next round. Just like the aforementioned encounter, the first-leg between Nouadhibou and Societe Omnisports de l'Armee ended goalless, leaving both sides with everything to play for in the return match. An Abdoulaye Gueye penalty in the 70th minute was enough for the hosts to claim the win, thereby progressing by a slender aggregate victory. Al Nasr and USM Alger picked up 3-1 victories on home soil against AS Tempete Mocaf and AS Sonidep, respectively. Al Nasr had lost the reverse fixture 1-0, so the eventual 3-2 aggregate success sees the Libyans progress to the last 32 of the competition. USM Alger, on the other hand, had picked up a 2-1 win on the road and just had to see off Sonidep to progress. The Algerian outfit did that to record a 5-2 aggregate victory.
MBINU ZA KOCHA MKUU WA KLABU YA SOKA YA SIMBA PATRICK AUSSEMS HUWENDA IKAWATOA JASHO UD DO SONGO KWENUE MCHEZO WA LELEO WA LIGI YA MABINGWA BARANI AFRIKA KATI YA SIMBA SC VS UD DO SONGO, UWEPO WA MEDDIE KAGERE, SHARIF SHIBOUB, DEO KANDA, FRANCIS KAHATA, HUWENDA UKALETA MATOKEO MAZURI SIKU YA LEO DHIDI YA UD DO SONGO KATIKA MCHEZO HUU WA MARUDIANO UTAKAO CHEZWA KATIKA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SAALAM MAJIRA YA SAA KUMI KAMILI JIONI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI #LigiYaMabingwa #SimbaLeo #Shiboub #MeddieKagere #Kahata