Timu ya Mwadui FC imefanikiwa kusalia Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Geita Gold FC magoli 2-1 kwenye mchezo wa mtoano (playoff) uliopigwa kwenye Uwanja wa Mwadui Complex mkoani Shinyanga Mwadui ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa mfungaji bora wa klabu hiyo Salim Aiyee dakika 33 kabla ya Baraka Jerome kusawazisha dakika 50. Wakati jahazi la Mwadui likielekea kuzama, dakika ya 90 Salim Aiyee akaiokomboa timu yake kwa kuaindikia goli la pili goli ambalo lilimaliza ndoto ya Geita kucheza ligi kuu
Timu ya Mwadui FC imefanikiwa kusalia Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Geita Gold FC magoli 2-1 kwenye mchezo wa mtoano (playoff) uliopigwa kwenye Uwanja wa Mwadui Complex mkoani Shinyanga Mwadui ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa mfungaji bora wa klabu hiyo Salim Aiyee dakika 33 kabla ya Baraka Jerome kusawazisha dakika 50. Wakati jahazi la Mwadui likielekea kuzama, dakika ya 90 Salim Aiyee akaiokomboa timu yake kwa kuaindikia goli la pili goli ambalo lilimaliza ndoto ya Geita kucheza ligi kuu
Tazama mabao yote matatu yaliyopata Singida United kwenye ushindi dhidi ya Mbeya City. Mechi imepigwa kwenye dimba la Namfua na waliozamisha jahazi la Mbeya City ni Habib Kyombo, John Tibar na Yusuph Kagoma. Unadahani uzembe wa walinzi wa Mbeya City umechangia kiasi gani kipigo hiki?