FADLU AFICHUA DOZI ZITO ALIYOWAANDALIA RS BERKANE KESHO, KAPOMBE AWASHA MOTO MKALI UBINGWA WA CAFCC
FADLU AFICHUA DOZI ZITO ALIYOWAANDALIA RS BERKANE KESHO, KAPOMBE AWASHA MOTO MKALI UBINGWA WA CAFCC

Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, amesema kikosi chake kiko tayari kwa mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane ya Morocco huku akisisitiza kuwa wachezaji wake wameshajifunza kupitia maumivu ya dakika 20 za kwanza kule Morocco. Akizungumza na waandishi wa habari Zanzibar, Fadlu amesema: “Ndiyo, tulikuwa tumejiandaa kikamilifu kwa mechi ya kwanza. Tulikuwa tumepanga kila kitu kiufundi na kimkakati, lakini jambo kubwa zaidi lilikuwa kuwapa wachezaji uzoefu wa dakika zile 20 za mwanzo kwa sababu unaweza kuwa na mpango mzuri lakini hali halisi ya uwanja na mazingira ya fainali huwezi kuifundisha darasani. Lazima waishi nayo, wapitie, na wakue kupitia hilo.” Katika mechi wa kwanza iliyochezwa Morocco, Simba ilikubali kichapo cha mabao 2-0. Hata hivyo, Fadlu anaamini kuwa kikosi chake sasa kiko tayari kwa pambano la marudiano, licha ya mchezo huo kuhamishiwa Zanzibar badala ya uwanja wao wa nyumbani wa Benjamin Mkapa. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj



MAONI YA WADAU KUELEKEA  FAINALI SIMBA VS BARKANE
MAONI YA WADAU KUELEKEA FAINALI SIMBA VS BARKANE

#SimbaSC #YangaSC #TanzaniaFootball #LigiKuuTanzania #Kilimanjaro #TanzaniaSports #BongoFlava #TanzaniaSport #ZanzibarFootball #TwigaStars #KilimanjaroPremierLeague #VPL #TanzaniaFootballFans #TanzaniaNationalTeam #TanzaniaSportsNews #SimbaVsYanga #MichezoTanzania #SportsTanzania #footballtanzania



Yanga SC 2-0 JKT Tanzania | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 18/05/2025
Yanga SC 2-0 JKT Tanzania | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 18/05/2025

Yanga imetinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa JKT Tanzania mabao 2-0 kwenye mchezo wa nusu fainali uliopigwa Mkwakwani Stadium, jijini Tanga.... Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yamefungwa na Prince Dube dakika ya 41 na Mudathir Yahya dakika ya 90.



MCHOME MAPOVU APAGAWA USHINDI WA YANGA KWA JKT/UWANJA MBOVU/UCHAWI WA JKT AIBU/YANGA HAO FAINALI
MCHOME MAPOVU APAGAWA USHINDI WA YANGA KWA JKT/UWANJA MBOVU/UCHAWI WA JKT AIBU/YANGA HAO FAINALI

#azizki #hersisaid #mayele #msuva #yanga #yangaleo #yangasc #yangatv #alikamwe #live_




« Previous Next »


Popular Tags

#Kawhi Leonard  #Best Goalkeeper Saves  #Best Ball Controls  #Football Skills  #Lionel Messi  #Philadelphia 76ers  #New York Knicks  #Neymar  #Neymar  #James Harden  

Popular Users

#AntDavis23  #Joey7Barton  #twitter  #Harry_Styles  #JasonDufner  #rioferdy5  #JohnCena  #LarryFitzgerald  #DeionSanders  #BillGates  #RealSkipBayless  #SportsCenter  #Drake  #NASA  #KingJames