CLEMENT MZIZE AKIKABIDHIWA TUZO YAKE YA GOLI BORA AFRIKA KABLA YA MECHI NA FAR RABAT
CLEMENT MZIZE AKIKABIDHIWA TUZO YAKE YA GOLI BORA AFRIKA KABLA YA MECHI NA FAR RABAT

USISAHAU KU-SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YETU KWA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU. INSTAGRAM @pmtvtz TIKTOK @officialpmtv TOVUTI: www.pmtv.co.tz



USHINDI WA MZIZE ULIVYOTANGAZWA KUNYAKUWA TUZO CAF
USHINDI WA MZIZE ULIVYOTANGAZWA KUNYAKUWA TUZO CAF

CAF AWARDS 2025 | Hivi ndivyo nyota magwiji wa soka la Afrika, Asamoah Gyan na Manucho walivyomtangaza Clement Mzize (Yanga SC) kuwa mshindi wa tuzo ya goli bora la mwaka. Pia sikiliza alichokisema Clement mwenyewe kuhusu tuzo hiyo akitoa shukrani zake kwa CAF, wachezaji wenzake, benchi la ufundi, na wote waliompigia kura. Mzize anasema “…hii ni ya kwetu wote” Goli lenyewe ni lile alilowafunga TP Mazembe kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu uliopita…Yanga ikishinda 3-1 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Januari 4, 2025. Ni usiku wa tuzo kwa waafrika waliofanya vizuri kwenye ulimwengu wa soka mwaka 2025. Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #CAFAwards2025 #CAFAwards #TuzoZaCAF




« Previous Next »


Popular Tags

#Best Football Defending Skills  #Shot Goals  #Football Defensive Skills  #Franck Ribery  #Cristiano Ronaldo  #Best Ball Controls  #Sergio Aguero  #Best Champions League  #New York Knicks  #Paul Pogba  

Popular Users

#ArianaGrande  #RyanBabel  #taylorswift13  #shakira  #themichaelowen  #BillGates  #Buccigross  #jtimberlake  #SimplyAJ10  #BizNasty2point0  #KingJames  #ochocinco  #nytimes  #ddlovato  #RSherman_25