Eminem Atetea Mike Tyson Baada ya Kupigwa na Jake Paul: "Huyu Ni Gwiji wa Ukweli! #shortsfeed
Eminem Atetea Mike Tyson Baada ya Kupigwa na Jake Paul: "Huyu Ni Gwiji wa Ukweli! #shortsfeed

Katika video hii, tunazungumzia pambano la kihistoria kati ya bondia maarufu Mike Tyson na kijana Jake Paul. Pamoja na kukosolewa sana kwa kushindwa, rapa mashuhuri Eminem ameonyesha msimamo wake wa kumpongeza Mike Tyson kwa ujasiri na mafanikio yake. Je, unadhani Tyson alifanya uamuzi sahihi kupambana kwa ajili ya pesa, au hili limeathiri urithi wake kama gwiji wa ndondi? Niachie maoni yako kwenye sehemu ya comment. #eminem #miketyson #jakepaul #celebritynews #shortsfeed #boxing #shorts



Mike Tyson Amtahadharisha Mwanawe: 'Huoni Maisha Magumu ya Ndondi! #shortsfeed
Mike Tyson Amtahadharisha Mwanawe: 'Huoni Maisha Magumu ya Ndondi! #shortsfeed

Mtoto wa bondia maarufu Mike Tyson alimwambia baba yake kwamba anatamani kuwa mpiganaji kama yeye, lakini majibu ya Tyson yalikuwa ya kushangaza sana. Katika video hii, tunaangazia mazungumzo hayo ya kipekee ambapo Tyson anamshauri mwanawe juu ya changamoto za kuwa bondia na jinsi maisha yake ya magumu yalivyomfanya awe na nguvu za kustahimili. Tyson anafafanua sababu anayotaka mwanawe asijihusishe na mchezo wa ngumi, huku akisema alifanya yote kwa ajili ya kumuwekea maisha bora. Je, unadhani Tyson alifanya maamuzi sahihi kumzuia mwanawe kuwa bondia? Au angemuacha afuate nyayo zake? Niachie maoni yako kwenye sehemu ya comment. #miketyson #celebritynews #lifestyle #shortsfeed #shorts



Kumbe MAYELE alimfata GAMONDI • Makosa ya Kipa wa Simba SC yazua balaa • Yanga walifanikiwa hapa tu.
Kumbe MAYELE alimfata GAMONDI • Makosa ya Kipa wa Simba SC yazua balaa • Yanga walifanikiwa hapa tu.

LIGI ZIMERUDI • Pata mikeka ya uhakika • Mikeka inakufata yenyewe kwenye sim yako • Huduma ni kila siku Gusa link hii 👉🏾 https://rb.gy/1im9c8 ili kupata MAOKOTO YA UHAKIKA.



🔴#LIVE : GUINEA (2) VS (1) TANZANIA
🔴#LIVE : GUINEA (2) VS (1) TANZANIA

Please subscribe now on Our YouTube channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time #live #coktv Hii ni chanel kwa ajili ya kuelimisha, kuburudisha kuhabarisha na kufanikisha malengo yako.



Hivi ndivyo Yusuph Kagoma alivyosaini mkataba wa Yanga na Simba kwa pamoja • Makosa yalianzia hapa
Hivi ndivyo Yusuph Kagoma alivyosaini mkataba wa Yanga na Simba kwa pamoja • Makosa yalianzia hapa

LIGI ZIMERUDI • Pata mikeka ya uhakika • Mikeka inakufata yenyewe kwenye sim yako • Huduma ni kila siku Gusa link hii 👉🏾 https://rb.gy/1im9c8 ili kupata MAOKOTO YA UHAKIKA.



IMEGUNDULIKA:Wachezaji wa Yanga SC wanajibusti hivi • Daktari afichua kinachofanyika Mazoezini
IMEGUNDULIKA:Wachezaji wa Yanga SC wanajibusti hivi • Daktari afichua kinachofanyika Mazoezini

LIGI ZIMERUDI • Pata mikeka ya uhakika • Mikeka inakufata yenyewe kwenye sim yako • Huduma ni kila siku Gusa link hii 👉🏾 https://rb.gy/1im9c8 ili kupata MAOKOTO YA UHAKIKA.



' FALSAFA' YA KOCHA FADLU NDANI SIMBA | SIMBA IJAYO ITAKUWA HIVI...
' FALSAFA' YA KOCHA FADLU NDANI SIMBA | SIMBA IJAYO ITAKUWA HIVI...

#KochaMpyaSimba #FadloDavids #FalsafaYake Falsafa ndio Roho ya Timu, Roho ya Kocha na ndio tumaini LA Mashabiki kwa Timu yao. Je kocha mpya wa Simba FADLU DAVIDS ni MUUMINI wa Falsafa Gani; Jibuhili hapa... ------------------------------------------------------------------------------------------------------ TUMEDHAMINIWA NA PELEGRINO SANITARIUM CLINIC Hawa ni mabingwa wa kutibu Magonjwa Sugu kama; Kisukari, Kansa, Ukimwi, Presha, Tezi Dume na magonjwa yote Yanayokusumbua.. Kwa mawasiliano zaidi piga simu Namba... 0747 805 550. ------------------------------------------------------------------------------------------------------ JE UNAZIFAHAMU VIDEO ZANGU BORA ZAIDI? TAZAMA HIZI HAPA.. 1. Yanga Baada ya Usajili: Kikosi chake cha Kwanza Hatari zaidi. https://youtu.be/jh-ozvp2GFo 2. Baada ya Usajili: Huu ndio Usajili Bora zaidi kwa Simba. https://youtu.be/RFPP8eEVgzM 3. Kabla ya Pre - Season: Simba wanatakiwa Kufanya Jambo hili Muhimu. https://youtu.be/OdcTjrGWTMA 4. UKWELI: KUHUSU KIWANGO HALISI CHA STEVEN MUKWALA | MSHAMBULIAJI MPYA SIMBA. https://youtu.be/CDHlA46PoVw 5. USAJILI WA CHAMA YANGA: UNA 'MAANA KUU 7' | TAZAMA KWA UMAKINI VIDEO HII. https://youtu.be/auuanbYqRIY 6. KIUFUNDI: MAENEO 8 YA USAJILI SIMBA | MO AMEAMUA... https://youtu.be/W3YQkGiA7Wg ------------------------------------------------------------------------------------------------------ JE UNGEPENDA KUTANGAZA BIASHARA YAKO SOCCERDATA KWA BEI NAFUU? KUWA SEHEMU YA WADHAMINI WETU TUKUTANGAZIE BIASHARA YAKO NA IWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI. (MAWASILIANO) 0710 679 388 0627 532 401 Email: soccerdata01@gmail.com ------------------------------------------------------------------------------------------------------ KAMA MDAU, TUNAKUOMBA UCHANGIE UNUNUZI WA VIFAA VYA UZALISHAJI. Saidia Ununuzi wa Vifaa vya Uzalishaji vitakavyorahisisha Kazi na kuongeza Ubora wa Uchambuzi. SoccerData inahitaji Vifaa VITATU vya kuanzia Vinavyogharimu Shilingi 4.7 M ambavyo Ni; 1. Video Camera 2. Computer 3. Condenser Microphone. Changia Kiasi chochote Ulichonacho kupitia; TIGOPESA: 0710 679 388 HALOPESA: 0627 532 401 (Jina : Sekwao Mwendi) BANK ACCOUNT. CRDB BANK. SEKWAO MOHAMEDI MWENDI 0152235925700 Lakini pia kwa Mawasiliano zaidi, Wapigie SoccerData kwa Namba hizo. ------------------------------------------------------------------------------------------------------ KARIBU KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII; FACEBOOK: https://www.facebook.com/SoccerData INSTAGRAM: https://www.instagram.com/soccerdata_tz/ JE UNGEPENDA KUWA SEHEMU HALISI YA SOCCERDATA? JISAJILI KAMA MEMBERSHIP LEO UPATE ZIADA YA UCHAMBUZI... https://www.youtube.com/channel/UCqgiGP0blRHlehLkLbkKuYQ/join SOCCERDATA KARIBUNI SANA...



Ninja asimulia jinsi alivyopigwa Congo na walinzi kisa picha ya Hersi
Ninja asimulia jinsi alivyopigwa Congo na walinzi kisa picha ya Hersi

Baada ya beki wa kati, Abdallah Shaibu 'Ninja' kumalizana na Lubumbashi Sport ya DR Congo, ametaja mipango aliyonayo kwa msimu ujao, huku akisimulia kisa kupiga picha na Injinia Hersi Said. Ninja alijiunga na Lubumbashi Sports kwa mkataba wa miaka miwili, akitokea Yanga ameutumikia mmoja, kisha ameomba kuondoka akitoa sababu ni usalama mdogo wa maisha ya DR Congo. "Japo kuna timu tatu za DR Congo zinahitaji huduma yangu, labda nipewe pesa ndefu, hata nikikaa kwa shida familia yangu Tanzania iwe salama, nje na hapo zipo timu hapa nyumbani zinahitaji huduma yangu nitazipa nafasi, kwanza Ligi Kuu Bara ni maarufu na inafuatiliwa na nchi mbalimbali," amesema na kuongeza; "Wakati nafika mara ya kwanza, niliambiwa kutembea mwisho saa 3:00 usiku, kila mtaa unapita unakutana na askari, sasa kuna wakati mwingine unaweza ukatoka kutafuta chakula cha Kitanzania, saa 3:00 ikikukutia nje ya nyumba yako ni shida." Hata hivyo, Ninja amesema hatosahau kipigo alichopigwa na walinzi wakati akiingia uwanjani kwenda kukutana na Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said. #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot #mamelodisundowns #alahlytv #alahlysc #miraj




« Previous Next »


Popular Tags

#James Harden  #Counter Attack Goals Football  #LeBron James  #Ronaldinho  #Kawhi Leonard  #Zlatan Ibrahimovi  #Chicago Bulls  #Mesut Ozil  #Stephen Curry  #Best Goalkeeper Saves  

Popular Users

#themichaelowen  #JLo  #nyt4thdownbot  #RyanBabel  #obj  #jimmyfallon  #wizkhalifa  #DjokerNole  #AdamSchefter  #alexmorgan13  #BMcCarthy32  #TheRealJRSmith  #twitter  #nytimes  #CMPunk