Kocha wa Marumo avamia chumba cha Yanga | Sikia alichosema
Kocha wa Marumo avamia chumba cha Yanga | Sikia alichosema

Yanga Vs Marumo Gallants Fainali Kombe la Shirikisho Afrika . Yanga Vs Marumo Gallants Fainali Kombe la Shirikisho Afrika .



BARAKA MPENJA: "YANGA WATACHUKUA UBINGWA WA SHIRIKISHO/MAYELE NI JINI/YANGA HII NI BORA SANA"
BARAKA MPENJA: "YANGA WATACHUKUA UBINGWA WA SHIRIKISHO/MAYELE NI JINI/YANGA HII NI BORA SANA"

Mara ya kwanza Timu kutoka Tanzania imetinga hatua ya Fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kumchabanga Marumo Gallants Goli 2 kwa 1 Nyumbani kwake. Mmoja wa Mashuhuda wa Rekodi hiyo ni Mwamba wa Umalila Baraka Adson Mpenja ambae ametoa maoni yake juu ya Rekodi hiyo na Ubora wa Kikosi cha Yanga. Aidha amenyoosha Mikono kwa Nyota Fiston Mayele juu ya Ubora alionao akiwa Kiwanjani, Goli moja na Pasi moja ya mwisho. Mpenja amekiri kuwa Msimu huu Yanga anakuwa Bingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika, na Kizazi hiki ndio Kizazi Bora cha Yanga tangu kuanzishwa kwake kwa mujibu wa Rekodi.




« Previous Next »


Popular Tags

#Zlatan Ibrahimovi  #Kyrie Irving  #Franck Ribery  #Shaquille O'Neal  #Goalkeeper Saves  #Goalkeeper Saves  #Football Defensive Skills  #LeBron James  #Chris Paul  #Paul Pogba  

Popular Users

#DwyaneWade  #justinbieber  #strombone1  #cesc4official  #twitter  #TheChristinaKim  #jadande  #JasonDufner  #BillGates  #normmacdonald  #DjokerNole  #Ky1eLong  #elonmusk  #Joey7Barton  #TheRealJRSmith