DUUH!! HAJI MANARA AGEUKA MBOGO ATEMA NYONGO KUHUSU MECHI YA SIMBA NA YANGA KUHUSU PENATI WANAZODAI
DUUH!! HAJI MANARA AGEUKA MBOGO ATEMA NYONGO KUHUSU MECHI YA SIMBA NA YANGA KUHUSU PENATI WANAZODAI

DUUH!! HAJI MANARA AGEUKA MBOGO ATEMA NYONGO KUHUSU MECHI YA SIMBA NA YANGA KUHUSU PENATI WANAZODAI



Simba SC 2-2 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 04/10/2024
Simba SC 2-2 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 04/10/2024

Coastal Union imelazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Simba katika mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara uliopigwa kwenye Dimba KMC Complex, Dar es Salaam. Simba wametangulia kwa magoli mawili kipindi cha kwanza kutoka kwa Mohamed Hussein Zimbwe Jr. na Lionel Ateba kwa penati , lakini Coastal wakacharuka kipindi cha pili na kupata magoli mawili kupitia kwa Abdallah Hassan na Hernest Malonga.... Tazama highlights....



Yanga SC 6-0 Vital'O FC | Highlights | CAF CL 24/08/2024
Yanga SC 6-0 Vital'O FC | Highlights | CAF CL 24/08/2024

Clatous Chama amefunga goli moja na kutoa assist nne, Yanga SC ikiwanyoosha Vital'O ya Burundi kwa kichapo kizito cha magoli 6-0 katika mchezo wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.... Waliofunga magoli hayo ni Pacome Zouzoua kwa penati dakika ya 14, Clement Mzize dakika ya 49, Clatous Chama dakika 51, Prince Dube dakika 71, Stephane Aziz Ki dakika ya 78 na Mudathir Yahya dakika ya 86.



Magoli yote | Yanga SC 6-0 Vtal'o FC | CAF CL 24/08/2024
Magoli yote | Yanga SC 6-0 Vtal'o FC | CAF CL 24/08/2024

Clatous Chama amefunga goli moja na kutoa assist nne, Yanga SC ikiwanyoosha Vital'O ya Burundi kwa kichapo kizito cha magoli 6-0 katika mchezo wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.... Waliofunga magoli hayo ni Pacome Zouzoua kwa penati dakika ya 14, Clement Mzize dakika ya 49, Clatous Chama dakika 51, Prince Dube dakika 71, Stephane Aziz Ki dakika ya 78 na Mudathir Yahya dakika ya 86. Haya hapa magoli yote......



Vital'o FC 0-4 Yanga SC | Highlights | CAF CL 17/08/2024
Vital'o FC 0-4 Yanga SC | Highlights | CAF CL 17/08/2024

Magoli manne yamefungwa, Yanga ikishinda 4-0 ugenini dhidi ya Vital'o ya Burundi, mchezo wa kwanza hatua ya awali kwenye Ligi ya Mabingwa barani Afrika ukipigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi. Wafungani ni Prince Dube dakika 6, Clatous Chama dakika ya 68, Clement Mzize dakika ya 74 na Stephane Aziz Ki kwa penati dakika ya 90.




« Previous Next »


Popular Tags

#Kawhi Leonard  #Shaquille O'Neal  #Paul Pogba  #Football Skills  #Manuel Neuer  #Shot Goals  #Counter Attack Goals Football  #Luis Suarez  #Los Angeles Lakers  #Cleveland Cavaliers  

Popular Users

#BillGates  #JohnCena  #TheRealJRSmith  #nfl  #billbarnwell  #ladygaga  #katyperry  #MichelleDBeadle  #BaileyLAKings  #si_vault  #UKCoachCalipari  #Cristiano  #geniebouchard  #BeingSalmanKhan  #AdamSchefter