Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/Kidanistars Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars
MATOKEO MECHI ZA LEO #VPL MATOKEO: Mechi zote sita za leo ambapo Coastal Union imefanikiwa kuvunja rekodi ya Namungo FC ya kutopoteza mchezo nyumbani katika msimu huu wa ligi. FT: Yanga 3-2 JKT Tanzania (Sibomana 11’, Balinya 22’, Molinga 35’ : Adam 13’, Lyanga 45’+2) FT: Alliance 2-1 KMC (Geofrey Luseke 15’, David Richard 30’ : Geofrey Luseke 77’ OG) FT: Namungo 1-3 Coasta Union (Reliants Lusajo 16’ : Mtenje Albano 15’, Deogratius Anthony 76’, Paul Bukaba 90’+4 OG) FT: Kagera Sugar 2-1 Lipuli FC (Yusuph Mhilu 10’, Nassoro Kapama 64’ : Paul Nonga 85’) FT: Ndanda 0-2 Polisi Tanzania (Andrew Chamungu 11’, Idd Mobby 83’) FT: TZ Prisons 1-1 Mwadui FC (Samson Mbangula 83’ : Raphael Aroba 70’) #AzamSports2 #AzamSportsHD #VodacomPremierLeague #LigiKuuTanzaniaBara #VPLUpdates #VPL
MATOKEO #VPL FT | Simba SC 4-0 Mbeya City FT | Coastal Union 1-2 Mbao FC. FT | JKT Tanzania 0-1 Tanzania Prisons. FT | Polisi Tanzania 1-0 Alliance FC FT | Ndanda SC 2-0 Ruvu Shooting #VodacomPremierLeague #VPLUpdates #LigiKuuTanzaniaBara
Mechi za leo ni: Ndanda SC vs Mtibwa Sugar. Mbao FC vs Ruvu Shooting. Namungo FC vs Lipuli FC Tanzania Prisons vs Kagera Sugar. Matangazo haya pia yapo LIVE kupitia #AzamSports2
MATOKEO #VPL FT: Kagera Sugar 0-1 JKT Tanzania (Hassan Mwaterema 49’). FT: KMC 1-1 Ndanda SC (Ally Ramadhan 9’ p : Salum Chubi 52’). FT: Biashara United 0-2 Simba SC (Medie Kagere 23’, Miraji Athuman 54’). FT: Mtibwa Sugar 1-1 Mbeya City (Abdulhalim Humud 23’ : Peter Mapunda 43’). FT: Lipuli FC 2-2 TZ Prisons (David Kameta 18’ p, Paul Materaz 45' : Hamidu Daud 6’, Cleophas Mkandala 83’) #VPL #VPLUpdates #LigiKuuTanzaniaBara #VodacomPremierLeague #SimbaSC #SSC #BiasharaUnited #BiasharaSimba
Namungo FC imeanza vyema msimu wake wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwachapa ndugu zao wa Ndanda SC mabao 2-1 katika Uwanja wa Majaliwa wilayani Ruangwa mkoani Lindi. Mabao ya Namungo yamefungwa na Lucas Kikoti dakika ya 43 na 84 huku bao la Ndanda likifungwa na Omary Isa dakika ya 72.
Miongoni mwa mechi zilizozua gumzo wiki hii ni ile iliyopigwa mjini Singida na Simba kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga Singida United mabao 2-0 pamoja na ile ya Biashara United vs Ruvu Shooting iliyopigwa Musoma na Biashara kushinda mabao 2-1. Katika mechi hizi palikuwa na matukio yaliyozua utata na hapa Osman Kazi anayatolea ufafanuzi. Mechi nyingine ni Simba vs Ndanda na Yanga vs Mbeya City zilizopigwa Uwanja wa Uhuru na