O Cristiano Ronaldo superou o Pelé? 🤯🐐 Perguntei para um português quem era melhor que o Cristiano Ronaldo entre: Nani Vini Jr Romário Rivaldo Ibra Suárez Benzema Ronaldinho Ronaldo Neymar Messi Pelé Deixa nos comentários do que você discorda! 👇 #cristianoronaldo #goat #portugal
LIVE :SIMBA VS KMC FC KIVUMBI LEO NANI KUWA BINGWA, SIMBA AU YANGA?
Lionel Messi ameendelea kuandika historia kwa herufi kubwa baada ya kuiongoza Argentina kupata ushindi muhimu dhidi ya Austria. Licha ya kukosa penalti mapema, nahodha huyo alionyesha utulivu na ubora wake kwa kufunga mabao mawili yaliyohakikisha timu yake inaondoka na pointi zote. Uchezaji wake umeendelea kuthibitisha kwa nini wengi humchukulia kuwa miongoni mwa wachezaji bora kuwahi kutokea duniani. Mafanikio hayo yameongeza uzito kwenye mjadala wa muda mrefu kati yake na Cristiano Ronaldo. Wakati Ronaldo akisifiwa kwa uwezo wake wa kufunga na kudumu kileleni kwa miaka mingi, Messi anaendelea kuvunja rekodi na kuacha alama kubwa zaidi katika michuano mikubwa. Je, ushindi huu na rekodi anazoendelea kuweka zinatosha kumfanya awe juu ya mpinzani wake wa muda mrefu? Mwandishi wa BBC @kenanivictorna taarifa zaidi 🎥: @frankmavura #bbcswahili #fypシ゚viral #tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #kombeladunia2026 Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw