Content removal request!


Kocha wa msaidizi Simba Masoud Djuma baada ya ushindi vs Azam FC

Kabla ya game ya leo Simba alikuwa kaizidi Azam FC kwa point 5, Azam wakiwa na point 33 na Simba 38, hivyo ushindi wa Simba wa goli 1-0 lililofungwa na Emmanuel Okwi dakika ya 37 kipindi cha kwanza unaifanya Simba kujikita kileleni kwa tofauti ya point nane dhidi ya Azam na tofauti ya point 7 dhidi ya Yanga anayeshika nafasi ya pili.