Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.
Mjumbe wa Bodi ya Timu ya Simba SC kwa upande wa Mwekezaji Mohammed Dewji Mo, Crescentius Magori, amepangua hoja dhaifu za uongozi wa timu ya Coastal Union unaodai kuwa mchezaji Lameck Lawi aliyetambulishwa Simba jana bado ni mchezaji wao, na kusema wataishtaki Coastal Union FC na hiyo klabu nyingine ya nje inayomhitaji Lawi. Akihojiwa na E FM.
Simba pro tunafahamu kua Crecentius Magori yupo nchini Zambia kwaajili ya kumalizana na Joshua Mutale na Kelvin Kapumbu kwaajili ya kuboresha timu kuelekea msimu wa 2024/25 Kwa kulitambua hilo Leo tutakua tukiangazia zaidi mambo usiyoyafahamu kuhusiana na Kelvin Kapumbu, Mambo ambayo yatakupa picha ni mchezaji wa Aina gani na atakuja kuisaidia vipi Simba SC? KAMA UNAHITAJI KUUNGWA KWENYE GROUP LA SIMBA PRO TUMA UJUMBE KWA NAMBA 0626629644 TUWEZE KUKUPA UTARATIBU WA JINSI YA KUJIUNGA
MOODEWJI AMEVUNJA SAFU YA UONGOZI, BARBARA GONZALEZ NA MAGORI WATAIREJESHA SIMBA TISHIOwasafi #football #footballclub #simbasc #yanga #azamfc #simba #millardayo #live
yanga,Usajili wa yanga,Simba vs Namungo,Kikosi cha simba leo,yanga leo,Yanga,Kundi la yanga,Clouds Media,ShutikaliTv,Rick ...
yanga,Usajili wa yanga,Simba vs Namungo,Kikosi cha simba leo,yanga leo,Yanga,Kundi la yanga,Clouds Media,ShutikaliTv,Rick ...
LIVE UCHAMBUZI WA MAGORI YA SIMBA DHIDI YA HOROYA | SIMBA DHIDI YA HOROYA HIGHLIGHTS | CHAMA Simba ...