SIMBA SC: Elie Mpanzu aanza 'tizi' kambini Misri ; Meneja Simba amaliza utata kuhusu uhalali wake
SIMBA SC: Elie Mpanzu aanza 'tizi' kambini Misri ; Meneja Simba amaliza utata kuhusu uhalali wake

KUTOKA MISRI | “….hakuna kiumbe yeyote anayeweza kujiita Eliiiii zaidi ya Simba SC” Kikosi cha Simba SC kikiwa kambini nchini Misri, jioni ya leo kimepiga tizi lililomuhusisha pia kiungo wao Elie Mpanzu ambaye ameripoti kambini hapo leo… Katika tizi hizo hilo, meneja wa kikosi hicho, Patrick Rweyemamu amefafanua machache kuhusu utata uliokuwepo juu ya mchezaji huyo, akisema “…ni propaganda…ni Gen-z ambao wameingia kwenye mfumo wa kisasa wa mpira” Rweyemamu amesema klabu hiyo haiwezi kufanya makosa ya kumsajili mchezaji wa aina hiyo kwa mkataba wa miezi sita na kusisitiza kuwa “…Elie Mpanzu yupo, na ataendelea kuwepo hadi Simba itakavyoamua vinginevyo



USAJILI WA PACOME KUJA SIMBA, AHMED ALLY AFUNGUKA UKWELI WOTE, TSHABALALA ANAKWENDA YANGA?
USAJILI WA PACOME KUJA SIMBA, AHMED ALLY AFUNGUKA UKWELI WOTE, TSHABALALA ANAKWENDA YANGA?

USAJILI WA PACOME KUJA SIMBA, AHMED ALLY AFUNGUKA UKWELI WOTE, TSHABALALA ANAKWENDA YANGA? : : SIMBA NA YANGA MECHI YA DERBY DERBY YA KARIAKOO KUFUNGWA KWA KANISA LA GWAJIMA JOSEPHAT GWAJIMA MBUNGE WA KAWE MKUTANO MKUU WA CCM DODOMA RAIS SAMIA SULUHU JAKAYA KIKWETE WAZIRI MKUU MAJALIWA CCM DODOMA FAINALI YA BERKANE VS SIMBA UWANJA WA AMANI ZANZIBAR WAARABU MOROCCO WAIPIGIA SALUTI SIMBA UWANJA WA BENJAMIN MKAPA #shorts #viralshorts #simbasc #simbavsrsbeekane #amanizanzibar #uwanjawaamani #benjaminmkapa #eliempanzu #yanga #yangasc #cafchampionleague #cafconfiderationcup #rsberkane #uwanjawamkapa #simbavsyanga #millardayo #globaltvonline #ayomatv #jambotv #wasafi #wasafitv #wasafimedia #wasafifm #ahmedally #cloudsfm #jeancharlesTelegram: Karibu upate Habari za uhakika hapa Champion Habari Habari za Siasa | Kijamii | Michezo | Burudani na Uchambuzi. WASILIANA NASI +255 655 100 695 Email: championhabari@gmail.com Follow us Instagram: championhabari Instagram:https://www.instagram.com/champion_habari?igsh=MXF5aWNqaWFqdXVjbA==



🔴#live : YANGA SC vs STAND UNITED FC | CRDB FEDERATION CUP 2025
🔴#live : YANGA SC vs STAND UNITED FC | CRDB FEDERATION CUP 2025

Hakikisha Umesubscribe Chaneli Yetu Ya #Grasstv1 Kwa Habari Za Uhakika Na Pia Tufuatilie Katika Mitandao Ya Kijamii Instagram & Tiktok kama @Grasstv1



Magoli yote saba | Kagera Sugar 2-5 Simba SC | NBC Premier League 21/12/2024
Magoli yote saba | Kagera Sugar 2-5 Simba SC | NBC Premier League 21/12/2024

Hatimaye Simba imevunja mwiko wa kutopata ushindi kwenye Uwanja wa Kaitaba dhidi ya Kagera Sugar, baada ya leo kuitandika magoli 5-2, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania. Magoli ya Simba yametoka kwa Shomary Kapombe 13', Jean Charles Ahoua 44', Fabrice Ngoma 53, na Stephen Desse Mukwala aliyefunga mawili dakika ya 66 na 85. Magoli ya Kagera Sugar yamefunga na Datius Peter dakika ya 79 na Cleophace Mkandala dakika ya 90. Ilikuwa ni mechi ambayo pia imemshuhudia kwa mara ya kwanza kiungo mpya wa Simba, Ellie Mpanzu aliyecheza kwa takriban dakika 70.




Next »


Popular Tags

#Mesut Ozil  #Cleveland Cavaliers  #Goalkeeper Saves  #Stephen Curry  #James Harden  #Best Goalkeeper Saves  #Chicago Bulls  #Paul George  #Best Goals  #LeBron James  

Popular Users

#NiallOfficial  #BarackObama  #Drake  #OleksiakPenny  #Cristiano  #DeionSanders  #cnnbrk  #CMPunk  #jimmyfallon  #MieshaTate  #PMOIndia  #kevinlove  #MariaSharapova  #ochocinco