The Pittsburgh Pirates blow a 4-1 9th inning led to the New York Yankees wasting a 7 inning, 10 strikeout performance by Andrew ...
Magoli kutoka kwa Israel Patrick Mwenda, Clement Mzize na Prince Dube yameipa Yanga ushindi wa 3-0 ugenini dhidi ya Tabora United, mchezo wa ligi kuu ya NBC ukipigwa kwenye Dimba la Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Hiki ni kisasi kwa Yanga dhidi ya Tabora United, ikikumbkwa mchezo wa kwanza waliokutana msimu huu, Yanga ilipoteza nyumbani kw akichapo cha mabao 3-1 kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Los Capitanes de Arecibo desperdiciaron una ventaja de más de 20 puntos y cayeron derrotados 72-66 ante los Cangrejeros de ...
Yanga SC imeichapa Coastal Union mabao 3-1 na kutinga 16 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la KMC Complex. Maxi Nzengeli amefunga magoli mawili dakika ya 2 na 15, wakati Clement Mzize akipiga la tatu dakika ya 21 baada ya Coastal Union kupata bao la dakik aya 18 kupitia kwa Miraji Abdallah. Magoli yote yamefungwa ndani ya dakika 21 za kwanza….
Ernie Clement's two-run homer! #homeruns #pirates #braves #brewers #padres #dodgers #giants #rockies #diamondbacks ...
SERIE DE CAMPEONES - CLASIFICATORIO ZONA CENTRO - SAN CLEMENTE 2025