Content removal request!


Yanga SC 3-1 Coastal Union | Highlights | CRDB Bank Federation Cup 12/03/2025

Yanga SC imeichapa Coastal Union mabao 3-1 na kutinga 16 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank, mchezo ukipigwa kwenye Dimba la KMC Complex. Maxi Nzengeli amefunga magoli mawili dakika ya 2 na 15, wakati Clement Mzize akipiga la tatu dakika ya 21 baada ya Coastal Union kupata bao la dakik aya 18 kupitia kwa Miraji Abdallah. Magoli yote yamefungwa ndani ya dakika 21 za kwanza….