Ewe Mwanadada unaetaka kusuka Fika sasa kwa Msusi Safi wakusuke kisasa na kwa bei nafuu Huduma Zao: Kusuka Nywele mitindo yote | kuosha nywele n.k Wanapatikana Sinza Vatcan Karibu na ukumbi wa Mawela Social Hall Piga: +255 657 306 709 / 0620366579
KIGOMA: BAO pekee la Steve Mukwala dakika ya 90+7 limetosha kuipa Simba ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mashujaa uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma na kukwea hadi nafasi ya pili ya Msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mukwala alipiga mpira wa kichwa katika ya mabeki wa Mashujaa baada ya kuungapisha kona iliyopigwa na Awesu Awesu . Mchezo huo ulikuwa wa ushindani ndani ya dakika 90 Simba walifanya shambulizi dakika ya 20 Leonel Ateba alifanya kazi nzuri lakini Kibe Denis alipiga shuti na mpira kutoka nje. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
Truth Media Kuwa Kwanza Kupata Habari Za Uhakika Instagram: https://www.instagram.com/truthmediatz_/ Tiktok: https://www.tiktok.com/@truthmediatz_?_t=8piZG2T2qDF&_r=1