Mpenja Tv imefanya mahojiano na Mratibu wa Simba Sports Club Mr. Abbas Suleiman kuhusu tetesi za Mchezaji Clatos Chota Chama Kurejea Simba pamoja na picha zinazosambaa mitandaoni zikimuonesha Mratibu huyu akiwa uwanja wa ndege kumpokea Chama. . Je kuna ukweli gani katika habari hii? . Mtangazaji kinara wa Mpenja Tv Alwatan Abdulazeez amefanya mahojiano kwa kina na Mratibu huyu. . Fungua video hii ili upate ukweli wa habari hii. . #Abbassuleiman #Simbasc #ClatosChama #MpenjaTV #Nbcpremeirleague