Simba Full Kikosi Mbeya| Sakho, Chama,Morrison| Mazoezi ya Mwisho na Kikosi Kilivyoingia Uwanjani by @ARUSHA ZONE - Post Details

Simba Full Kikosi Mbeya| Sakho, Chama,Morrison| Mazoezi ya Mwisho na Kikosi Kilivyoingia Uwanjani

Simba Full Mkoko Mbeya |Pape Sakho, Chama,Morrison| Mazoezi ya Mwisho na Kikosi Kilivyoingia Uwanjani Simba Sports Club, wawakilishi wa nchi katika mashindano ya kimataifa wako jijini Mbeya tayari kwa maandalizi ya mchezo wa NBC Premier League dhidi ya Mbeya City. Na ikumbukwe tu Simba wameenda kuwakabili Mbeya City wakiwa na kiungo wao machachari waliyemsajili tena katika dirisha dogo, si mwingine bali ni Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama. Sasa kupitia mitandao ya kijamii ya Simba Sports Club, mabingwa hao watetezi wameonekana wakiwa mazoezini full mkoko yaani wachezaji wao wote waliowasajili akiwemo Chama. Haya ni mazoezi ya mwisho kwa Simba kabla ya kuwakabili Mbeya City katika mechi muhimu kwa Simba kutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu. Na tukujuze tu kwamba baada ya Chama aliyekuwa akivaa jezi namba 17 kuondoka Simba, jezi yake alikabidhiwa Pape Osman Sakho lakin mazoezini alionekana Sakho akiwa amevaa jezi namba 10 iliyokiwa ikivaliwa na Ibrahim Ajib aliyemtikia Simba na hii inamaanisha Chama amerudishiea jezi yake namba 17. Mechi ya leo ya Simba dhidi ya Mbeya City ni muhimu kwako katika kutetea ubingwa wao na wanaingia uwanja wa Sokoine wakiwa na kumbukumbu ya ushindi katika mchezo wao wa mwisho wa ligi. Je, Mbeya City atakubali kupoteza mchezo huu akiwa nyumbani? vipi wanasimbazi wataendeleza ubabe wao na kupunguza gap la points dhidi ya watani wao Yanga!? Dakika 90 ndio zitatoa majibu yote haya. Lakin kwako mtazamaji usisite kuacha maoni yako kuhusu hii mechi muhimu ya Mbeya City dhidi ya Simba.

Similar Posts!

KIMENUKA: HEHE YANGA WALIA NA REFA,WADAI KUHUJUMIWA,SIMBA VICHEKO,MTANI UTAKOMA MWAKA HUU,NI BALAA.
KIMENUKA: HEHE YANGA WALIA NA REFA,WADAI KUHUJUMIWA,SIMBA VICHEKO,MTANI UTAKOMA MWAKA HUU,NI BALAA.

KIMENUKA: HEHE YANGA WALIA NA REFA,WADAI KUHUJUMIWA,SIMBA VICHEKO,MTANI UTAKOMA MWAKA HUU,NI BALAA.



HUKUONA HII Mashabiki wa Simba Walichomfanyia Mzungu Baada ya Mechi|Goli Lake Lina Balaa Kweli Kweli
HUKUONA HII Mashabiki wa Simba Walichomfanyia Mzungu Baada ya Mechi|Goli Lake Lina Balaa Kweli Kweli

HUKUONA HII Mashabiki wa Simba Walichomfanyia Mzungu Baada ya Mechi | Goli Lake Lina Balaa Kweli Kweli Dejan wa Simba amefunga goli mechi shidi ya Kagera Sugar na kufanya mashabiki wa Simba washindwe kujizuia na kuimba mlete mzungu, mlete mzungu, hatujamaliza.



🔴#live :Kinachoendelea Simba Vs Geita Gold CCM KIRUMBA| Mashabiki Simba Wazua Taharuki |Chama Ndani
🔴#live :Kinachoendelea Simba Vs Geita Gold CCM KIRUMBA| Mashabiki Simba Wazua Taharuki |Chama Ndani

🔴#live :Kinachoendelea Simba Vs Geita Gold CCM KIRUMBA| Mashabiki Simba Wazua Taharuki | Chama Ndani



PATACHIMBIKA..!! | Manara Atangaza Vita Dhidi ya Ahmed Ally | Kisa Mechi ya Namungo vs Yanga
PATACHIMBIKA..!! | Manara Atangaza Vita Dhidi ya Ahmed Ally | Kisa Mechi ya Namungo vs Yanga

PATACHIMBIKA..!! | Manara Atangaza Vita Dhidi ya Ahmed Ally | Kisa Mechi ya Namungo vs Yanga



"LAZIMA TUTAFUZU" | Hizi Hapa Kauli ya Ahmed ally Baada ya Simba Kufungwa na Asec Mimosas
"LAZIMA TUTAFUZU" | Hizi Hapa Kauli ya Ahmed ally Baada ya Simba Kufungwa na Asec Mimosas

"LAZIMA TUTAFUZU" | Hizi Hapa Kauli ya Ahmed ally Baada ya Simba Kufungwa na Asec Mimosas



AHMED ALLY AWEKA WAZI ALICHOKIFANYA MKUDE | SIMBA VS BERKANE | Huyu Mkude ni Hatari
AHMED ALLY AWEKA WAZI ALICHOKIFANYA MKUDE | SIMBA VS BERKANE | Huyu Mkude ni Hatari

AHMED ALLY AWEKA WAZI ALICHOKIFANYA MKUDE | SIMBA VS BERKANE | Huyu Mkude ni Hatari



SHUHUDIA TAMBO ZA MSEMAJI WA SIMBA | sisi sio yanga dar city anakufa nyingi kwa mkapa
SHUHUDIA TAMBO ZA MSEMAJI WA SIMBA | sisi sio yanga dar city anakufa nyingi kwa mkapa

SHUHUDIA TAMBO ZA MSEMAJI WA SIMBA | sisi sio yanga dar city anakufa nyingi kwa mkapa baada ya simba kuandamwa na matokeo mabaya katika michezo yao mitatu iliyopita mchezo wao dhidi ya mtibwa sugar , simba vs kagera sugar , simba vs mbeya city kwa kutokupata goli hata moja sasa msemaji wa simba ahmed ally amesema mechi hiyo anaenda kuitumia kama njia ya kufuta machozi wanasimba aidha simba watamkosa kocha wao mkuu pablo franco katika mchezo huo lakini bado msemaji wao anaimani dar city watapigwa nyingi



YAFICHUKA: Wachezaji Mbeya City Wapewa Milion 5 Kuifunga Simba| Stori Nzima Hii Hapa
YAFICHUKA: Wachezaji Mbeya City Wapewa Milion 5 Kuifunga Simba| Stori Nzima Hii Hapa

YAFICHUKA: Wachezaji Mbeya City Wapewa Milion 5 Kuifunga Simba| Stori Nzima Hii Hapa kuelekea mechi kati ya simba na mtibwa sugar habari zinasema kuwa mabossi wa klabu hiyo wameweka kiasi cha millioni tano kwa wachezaji wao wa mtibwa sugar kama watapata matokeo dhidi ya simba sio mara ya kwanza simba kucheza dhidi ya klabu iliyo ahidiwa fedha imecheza dhidi ya biashara united na pia dhidi ya mbeya city zote zikiwa zimeahidiwa fedha je hii inaweza ikawa manufaa kwa upande wa yanga kwenye mbio zao za kuwania ubigwa