#BREAKINGNEWS SIMBA SC WAPELEKA BARUA CAF KUICHONGEA AL MERRIKH by @2GENDAH ONLINE TV - Post Details

#BREAKINGNEWS SIMBA SC WAPELEKA BARUA CAF KUICHONGEA AL MERRIKH

#Simbasc#ALMerrikh#Maombi#CafOnline Klabu ya Simba imetuma maombi CAF kufanya uchunguzi kuhusu klabu ya Al Merreikh ya sudan kuwatumia wachezaji wawili waliofungiwa na shirikisho la mpira wa miguu la sudan wakati wa mchezo wao ulichezwa marchi 6 mwaka huu mjini khatoum . Wachezaji ambao waliojumuhishwa ni pamoja na Ramadhan ajab na bakhiet khamis ambao walifungiwa na chama cha soka sudan Sudan Football Association] kwa muda wa miezi sita kutokana na kila mmoja kua na mikataba na vilabu viwili tofauti.

Similar Posts!

Al AHLY ANYAKUA KOMBE LA MABINGWA KWA MARA NYINGINE
Al AHLY ANYAKUA KOMBE LA MABINGWA KWA MARA NYINGINE

cafchampionsleague #final #2gendahtvonline #live #alahlytv #estunis Al AHLY ANYAKUA KOMBE LA MABINGWA KWA MARA ...



AL AHLY YAIBANA MBAVU ES TUNIS
AL AHLY YAIBANA MBAVU ES TUNIS

live #cafchampionsleague #final AL AHLY YAIBANA MBAVU ES TUNIS.



DR CongoYAPETA
DR CongoYAPETA

live #afcon2023 #quarterfinals #2gendahtvonline DR Congo & Guinea - Quarter Final.



DR Congo YAICHAPA VIBAYA SANA GUINEA
DR Congo YAICHAPA VIBAYA SANA GUINEA

live #afcon2023 #quarterfinals #2gendahtvonline DR Congo & Guinea - Quarter Final.



NIGERIA WAISHIKA KOO ANGOLA KATIKA ROBO FAINALI YA KWANZA
NIGERIA WAISHIKA KOO ANGOLA KATIKA ROBO FAINALI YA KWANZA

2gendahtvonline #live #nigeria #angola #afcon2023 NIGERIA WAISHIKA KOO ANGOLA KATIKA ROBO FAINALI YA KWANZA.



🔴Live Sekhukhune vs Mamelodi Sundowns
🔴Live Sekhukhune vs Mamelodi Sundowns

psl #mamelodisundowns #2gendahtvonline #sekhukhune Sekhukhune vs Mamelodi Sundowns.