The Official YouTube Channel Account J&R Mtita Friom Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA) Booking : jrmtitatv@gmail.com Contact : +255 716 051 853
Kocha Manqoba Mngiqithi (55) Raia wa AFRIKA Kusini ametangazwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC akitokea Klabu ya Gorden Arrows ya Afrika Kusini. Mngiqithi ana uzoefu mkubwa wa mashindano ya CAF na Ligi za kiafrika kutokana kufanya kazi na Klabu ya Mamelod Sundowns kwa muda mrefu toka 2013 Hadi 2024 akiwa anashika nafasi mbalimbali.
Kiungo Mshambuliaji wa @yangasc Pacome Zouzoua Amepata Majeraha Mabaya ya Kuvunjika Mguu wake Wakati Mchezo wa Mwisho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania Kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo. Baada ya Mchezaji huyo Nyota @pacom_zouzoua Kupata Majeraha Mabaya ya Mguu wake, Mashabiki wa Soka Afrika wamejitokeza Kumpa Pole Nyota huyu Huku Wengi wakimuombea Kupona Haraka na kurejea Uwanjani kuwatumikia Wananchi. Get Well Soon Pacome Zouzoua .
Sempat diminta dihapus dari turnamen, tim-tim Afrika justru berikan kejutan besar di Piala Dunia! π± Meski datang dengan keterbatasan anggaran, statistik membuktikan performa mereka jauh melampaui ekspektasi, bahkan mengungguli rasio kelolosan tim dari Eropa dan Asia. Pembuktian luar biasa dari sepak bola Afrika! β½π₯ Bagaimana pendapat kalian tentang performa tim Afrika kali ini? #shortsvideo #football #sepakbola #beritabola #infobola #shortsyoutube #updatebola #footballshorts
Kanada berhasil mengamankan kemenangan tipis 1-0 atas Afrika Selatan pada babak 32 besar Piala Dunia 2026. Berkat ...
Hasil Piala Dunia 2026 - Afrika Selatan vs Kanada - Bagan 32 Besar Piala Dunia 2026 Piala Dunia 2026 FIFA World Cup 2026 ...
Jadwal Siaran Langsung Piala Dunia Malam Ini - AFRIKA SELATAN vs KANADA Live TVRI - Piala Dunia 2026 Piala Dunia 2026 ...