SHOMBO SHABIKI WA SIMBA SC SAKHO NI ZAIDI YA WACHEZAJI KUMI NA MBILI Kumekucha! Nusu Fainali ya Kwanza ya Kombe la Mapinduzi Cup 2022 ni leo jioni Januari 10 kati ya Azam FC na Mabingwa watetezi Yanga SC, Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Nusu Fainali ya pili inachezwa usiku wa leo kati ya Miamba ya soka Tanzania, Simba na Namungo FC maarufu Wauaji wa Kusini. Timu gani kutinga fainali?…….. Mpenja TV tupo hapa Zanzibar kukupa Updates zote za michezo yote ndani ya uwanja wa Amaan Zanzibar. #MapinduziCup2022 #NusuFainali #AzamFCvsYangaSC #SimbaSCvsNamungoFC #MpenjaTV
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.