NELSON OKWA: KIUNGO BUIBUI | UBORA | UDHAIFU | VITA MSIMBAZI. by @SoccerData - Post Details

NELSON OKWA: KIUNGO BUIBUI | UBORA | UDHAIFU | VITA MSIMBAZI.

#NelsonOkwa #UsajiliSimba #Kiungo Ukiona Manyoya Ujue kuku Kaliwa; Hivi ndivyo unavyoweza kusema juu Usajili wa Nelson Esor BULUNWO OKWA, Mnigeria mwenye Miaka 25 anayekicheza katika nafasi ya Kiungo. Okwa kabla ya kutua Msimbazi alikuwa akikipiga na klabu ya Rivers United ya Nchini Nigeria; Ile iliyowatoa Yanga katika hatua ya Mchujo Klabu Bingwa Afrika Msimu Uliopita. Okwa ni miongoni mwa Wachezaji wachache Saaa katika Ligi yetu watakao tumia Miguu yote kusakata Kabumbu. Takwimu za ligi kuu nchini Nigeria zinaonyesha kuwa Okwa Msimu huu amecheza dakika 1731 katika mechi 26 kati ya 38, ikiwa ni sawa na wastani wa kucheza dakika 66.5 kwa kila mechi na kufanikiwa kucheka na Nyavu Mara 5. Labda nikiri tu kuwa Okwa ni miongoni mwa wachezaji Machachari sana wawapo Dimbani. KUpitia Uchambuzi huu nitakwambia Okwa ni Mzuri Zaidi akicheza Nafasi gani akiwa Uwanjani, lakini pia Nitakwambia kwa Simba ya Zoran, Okwa ili awe na Thamani anatakiwa kuchezeshwaje. Usisahau kupitia Hapa Nitakupa Picha halisi ya Vita ya Namba ninayoiona kutokana na Usajili wa Okwa Msimbazi. Kaa hapo hapo, tena kwa Kutulia na Ili Kuhakikisha kuwa hupitwi na chochote Nakuomba SUBSCRIBE kisha Bofya alama ya kengele; SoccerData imejipanga kukushushia Mawe ya Kiufundi na kuisogeza Timu yako karibu nawe. Tufuate kule Instagram na Facebook kwa Jina la SoccerdATA Tanzania. Bila kupoteza muda acha tuanze;

Similar Posts!

' FALSAFA' YA KOCHA FADLU NDANI SIMBA | SIMBA IJAYO ITAKUWA HIVI...
' FALSAFA' YA KOCHA FADLU NDANI SIMBA | SIMBA IJAYO ITAKUWA HIVI...

#KochaMpyaSimba #FadloDavids #FalsafaYake Falsafa ndio Roho ya Timu, Roho ya Kocha na ndio tumaini LA Mashabiki kwa Timu yao. Je kocha mpya wa Simba FADLU DAVIDS ni MUUMINI wa Falsafa Gani; Jibuhili hapa... ------------------------------------------------------------------------------------------------------ TUMEDHAMINIWA NA PELEGRINO SANITARIUM CLINIC Hawa ni mabingwa wa kutibu Magonjwa Sugu kama; Kisukari, Kansa, Ukimwi, Presha, Tezi Dume na magonjwa yote Yanayokusumbua.. Kwa mawasiliano zaidi piga simu Namba... 0747 805 550. ------------------------------------------------------------------------------------------------------ JE UNAZIFAHAMU VIDEO ZANGU BORA ZAIDI? TAZAMA HIZI HAPA.. 1. Yanga Baada ya Usajili: Kikosi chake cha Kwanza Hatari zaidi. https://youtu.be/jh-ozvp2GFo 2. Baada ya Usajili: Huu ndio Usajili Bora zaidi kwa Simba. https://youtu.be/RFPP8eEVgzM 3. Kabla ya Pre - Season: Simba wanatakiwa Kufanya Jambo hili Muhimu. https://youtu.be/OdcTjrGWTMA 4. UKWELI: KUHUSU KIWANGO HALISI CHA STEVEN MUKWALA | MSHAMBULIAJI MPYA SIMBA. https://youtu.be/CDHlA46PoVw 5. USAJILI WA CHAMA YANGA: UNA 'MAANA KUU 7' | TAZAMA KWA UMAKINI VIDEO HII. https://youtu.be/auuanbYqRIY 6. KIUFUNDI: MAENEO 8 YA USAJILI SIMBA | MO AMEAMUA... https://youtu.be/W3YQkGiA7Wg ------------------------------------------------------------------------------------------------------ JE UNGEPENDA KUTANGAZA BIASHARA YAKO SOCCERDATA KWA BEI NAFUU? KUWA SEHEMU YA WADHAMINI WETU TUKUTANGAZIE BIASHARA YAKO NA IWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI. (MAWASILIANO) 0710 679 388 0627 532 401 Email: soccerdata01@gmail.com ------------------------------------------------------------------------------------------------------ KAMA MDAU, TUNAKUOMBA UCHANGIE UNUNUZI WA VIFAA VYA UZALISHAJI. Saidia Ununuzi wa Vifaa vya Uzalishaji vitakavyorahisisha Kazi na kuongeza Ubora wa Uchambuzi. SoccerData inahitaji Vifaa VITATU vya kuanzia Vinavyogharimu Shilingi 4.7 M ambavyo Ni; 1. Video Camera 2. Computer 3. Condenser Microphone. Changia Kiasi chochote Ulichonacho kupitia; TIGOPESA: 0710 679 388 HALOPESA: 0627 532 401 (Jina : Sekwao Mwendi) BANK ACCOUNT. CRDB BANK. SEKWAO MOHAMEDI MWENDI 0152235925700 Lakini pia kwa Mawasiliano zaidi, Wapigie SoccerData kwa Namba hizo. ------------------------------------------------------------------------------------------------------ KARIBU KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII; FACEBOOK: https://www.facebook.com/SoccerData INSTAGRAM: https://www.instagram.com/soccerdata_tz/ JE UNGEPENDA KUWA SEHEMU HALISI YA SOCCERDATA? JISAJILI KAMA MEMBERSHIP LEO UPATE ZIADA YA UCHAMBUZI... https://www.youtube.com/channel/UCqgiGP0blRHlehLkLbkKuYQ/join SOCCERDATA KARIBUNI SANA...



JINSI SIMBA 'ITAKAVYOMFUNGA' AL AHLY  || HUTAAMINI || MBINU ZOTE HIZI HAPA.
JINSI SIMBA 'ITAKAVYOMFUNGA' AL AHLY || HUTAAMINI || MBINU ZOTE HIZI HAPA.

#Simba #AFL #alahly KARIBU AJE FARMS; https://www.youtube.com/@aje-farmsmashambayanayotem7392 AJE-FARMS LTD ni kampuni binafsi inayojishughulisha na Kilimo Biashara Mseto kwa kufanya shughuli za Kilimo na Ufugaji AJE-FARMS ilisajiriwa rasmi Tanzania mwaka 2016. Ni kampuni iliyoanzishwa na Madaktari wawili wa binadamu wote Dr .Hartig & Dr.Ibrahim Mdashiru ambao wote huamini kwenye "KINGA NI BORA KULIKO TIBA" na wote wanaamini kuwa magonjwa mengi yanaweza kukingwa kwa LISHE SAHIHI na mitindo bora ya maisha.Kilimo ni njia ya kwanza muhimu ya kukabiliana na magonjwa ! Kupitia chaneli hii tunalenga kuelimisha watazamaji/wafuatiliaji wa vipindi vyetu mbinu bora za kilimo biashara,ujasiriamali na mitindo bora ya maisha. Kupitia chaneli hii tutakusaidia kuyafikia masoko yenye tija kwa wakati,kuongeza thamani ya mazao yako, kulima kibiashara,kukupa msaada wa kupata teknolojia na zana bora za kilimo wakati wote. Timu yetu ya wataalam inaweza kukufikia popote na kukusaidia kutatua changamoto za kilimo & ufugaji. SUBSCRIBE NA UJIFUNZE ZAIDI JUU YA FURSA ZA KILIMO BIASHARA



HATMA YA ROBERTO SIMBA: KUNA SABABU KUU MBILI (2) ZA KUMUHUKUMU.
HATMA YA ROBERTO SIMBA: KUNA SABABU KUU MBILI (2) ZA KUMUHUKUMU.

Je unataka Kuudhamini uchambuzi kama alivyofanya #MATAIMAJENGO Nitafute, njoo TUCHATI kwa 0710 679 388 Nasi tutakupa Uchambuzi Unaoutaka.



MAKOSA GOLI LA 'LAKRED' KIUFUNDI || DYNAMOS 2-2 SIMBA
MAKOSA GOLI LA 'LAKRED' KIUFUNDI || DYNAMOS 2-2 SIMBA

#AyoubLakred #SimbaPowerDynamos #SoccerDataUchambuzi je ungependa madini kama Haya yawe yanakufikia kila siku na kwa wingi zaidi? ichangie Soccerdata leo; nami nita ku tag katika Uchambuzi Ujao; TigoPesa: 0710 679 388 Halopesa: 0627 532 401 (Sekwao Mwendi) Mungu akubariki sana