Content removal request!


JINSI SIMBA 'ITAKAVYOMFUNGA' AL AHLY || HUTAAMINI || MBINU ZOTE HIZI HAPA.

#Simba #AFL #alahly KARIBU AJE FARMS; https://www.youtube.com/@aje-farmsmashambayanayotem7392 AJE-FARMS LTD ni kampuni binafsi inayojishughulisha na Kilimo Biashara Mseto kwa kufanya shughuli za Kilimo na Ufugaji AJE-FARMS ilisajiriwa rasmi Tanzania mwaka 2016. Ni kampuni iliyoanzishwa na Madaktari wawili wa binadamu wote Dr .Hartig & Dr.Ibrahim Mdashiru ambao wote huamini kwenye "KINGA NI BORA KULIKO TIBA" na wote wanaamini kuwa magonjwa mengi yanaweza kukingwa kwa LISHE SAHIHI na mitindo bora ya maisha.Kilimo ni njia ya kwanza muhimu ya kukabiliana na magonjwa ! Kupitia chaneli hii tunalenga kuelimisha watazamaji/wafuatiliaji wa vipindi vyetu mbinu bora za kilimo biashara,ujasiriamali na mitindo bora ya maisha. Kupitia chaneli hii tutakusaidia kuyafikia masoko yenye tija kwa wakati,kuongeza thamani ya mazao yako, kulima kibiashara,kukupa msaada wa kupata teknolojia na zana bora za kilimo wakati wote. Timu yetu ya wataalam inaweza kukufikia popote na kukusaidia kutatua changamoto za kilimo & ufugaji. SUBSCRIBE NA UJIFUNZE ZAIDI JUU YA FURSA ZA KILIMO BIASHARA